Atakaeweza kuendeleza....

Atakaeweza kuendeleza....

hahahahahahahahah sithubutu kutoa povu juu yako
nitacheka sana siku hiyoooo loooh naomba iwe weekend maana nitahitaji kulala chini kwa kicheko
Duuh shem na wewe una vituko balaa
 
unatembea na bullets proof ?
niko salama kabisa nilipo, siko mie kwa uncle Pombe kwa hiyo usalama wangu uko swafi kabisa.
Malaika wa Mungu wapo pande zote wakilinda usalama wangu
 
Katika mchezo wa Tausi mganga nani ka
Kalumanzila la, lala salama ma, mama mzazi zi,
zizi lang'ombe mbe, mbele ya nyumba mba,
mbali na wewe we, wembe wa kucha cha,
chakula kitamu mu, Mungu mkubwa bwa, bwawa la
samaki ki, king majuto to, tone la maji ji, jitu la
kale le, lenye midevu vu, vumbua dhahabu bu,
bubu asemi mi, mimi mdogo go, gogo la mti ti, ........................
Da umenikumbusha mbali nimejikuta naimba kwa sauti mpaka kila mtu akaangua kicheko.
 
Back
Top Bottom