Ndugu yangu watakao elewa hili Andiko lako ni wachache mno! Naona wasomi Uchwara wanavyo kukuruka, bila kujua Fasihi iliomo ndani ya Mada! Kweli alie turoga Tz alaniwe huko aliko.Hivi sasa tatizo la kukatikakatika umeme jijini Dar es Salaam limekuwa kubwa, hii huenda inatokana na umbali wa bwawa la Mwalimu Nyerere lilipo kitu chochote kikisafiri mbali huhitaji mapumziko njiani, hivyo ni vizuri kujenga bwawa hapa Dar es Salaam