Atakayeandamana asiseme hakupewa tahadhari

Atakayeandamana asiseme hakupewa tahadhari

Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
 
Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu kwa akiri zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
CHADEMA wasubiri uchaguzi tu. Waache kubwatuka
 
TUNA IMANI NA MAMA SAMIA.
NASIMAMA.png
. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
 
Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu kwa akiri zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Hii itakuwa sawa maana raia tutakuwa tumeguswa kwa umoja wetu. Hizi nyingine janja janja mingi. Maslahi mbele.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Juzi tu palikuwa na maandamano na yalilindwa na polisi na hakukuwa na madhara. Hii ya samiamustgo ni wrong move, ina chembechembe za uhaini au kutumia kakundi fulani kumpimdua raisi ndo maana ikapigwa marufuku
 
Maandamano huwa hayapangwi kama itafika hatua watu wakaona hawatendewi haki huwa wanaandamana bila kushawishiwa na mtu yoyote kama vile ilivyotokea baadhi ya mikoa.

Haya yanayopangwa tarehe ili kuandamana kwaajili ya watu fulani waingie madarakani wakale mema ya nchi wataandamana wenye maslahi nayo tu
 
Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Mi nashauri waache maandamano, badala yake wafanye uchunguzi na kuwabaini wauaji halafu nao wawaue kimyakimya, huo ndio mwarubaini.
 
Back
Top Bottom