EmanuelSTZ
Member
- Sep 4, 2024
- 77
- 111
Tukutane kesho kwenye maandamano ya nyuma ya keybord
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli Tanzania watu wengi ni machiziTUNA IMANI NA MAMA SAMIA.View attachment 3103086. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
Hapa watu wanatunishia misuli tu ila hili swala lilikua dogo sana maana nguvu inayo tumika kuzuia maandamano ingetumika kusaka waharifu wa utekaji sidhani km chadema wangetaka kuandamana ...hapa Hekima tu za viongozi pande zote mbili zitumike swala hili la maandamano lisitokeee watu kesho tunamipango ya hela pakiwa na vurugu mambo yatasimama.Mi nashauri waache maandamano, badala yake wafanye uchunguzi na kuwabaini wauaji halafu nao wawaue kimyakimya, huo ndio mwarubaini.
Huko kutana na wenzio tu wengine tuachage weee.Tukutane kesho kwenye maandamano ya nyuma ya keybord
Unaambiwa samiamustgo, nenda kamtoe raisi madarakani halafu huulizi anakuja nani? Atafanya nini? Ukienda ukavunjwa miguu ni ujinga wako.Maandamano huwa hayapangwi kama itafika hatua watu wakaona hawatendewi haki huwa wanaandamana bila kushawishiwa na mtu yoyote kama vile ilivyotokea baadhi ya mikoa.
Haya yanayopangwa tarehe ili kuandamana kwaajili ya watu fulani waingie madarakani wakale mema ya nchi wataandamana wenye maslahi nayo tu
Hata kwa kulipwa siandamani ng'oo 😂Nipo dodoma location bahi road
Nimeona intro ya police sio masihara
Yaani police wametupa intro moja imenyooka sana sio kwamba ni waoga ila ikitokea umeandaman pekeyako utafanywa mfano kwa vizazi vijavyoHata kwa kulipwa siandamani ng'oo 😂
Cassnzoba
Gifted Girl
sweery
Alice_
Vincenzo Jr
Fake P
kipanga85
Niwaheri
Polisi wawashighulikiw bila hurumaYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
😂😂Hivi maandamano lini kwanzaYaani police wametupa intro moja imenyooka sana sio kwamba ni waoga ila ikitokea umeandaman pekeyako utafanywa mfano kwa vizazi vijavyo
CHADEMA chukueni tahadhariPolisi wawashighulikiw bila huruma
Mkuu mbona polisi wameanza kuandamana toka juzi kama waandamanaji waandamizi na hawajapatwa na chochote!!!Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
🤣😁😁😁Hata kwa kulipwa siandamani ng'oo 😂
Cassnzoba
Gifted Girl
sweery
Alice_
Vincenzo Jr
Fake P
kipanga85
Niwaheri
Twenzetu tukaandamane mkuu🤣😁😁😁
Ngoja nile cha mchana kwanza kaka 😂 😁Twenzetu tukaandamane mkuu