Atakayeandamana asiseme hakupewa tahadhari

Atakayeandamana asiseme hakupewa tahadhari

Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Isipokuwa raia ndiyo wanaruhusiwa kutumia nguvu eeh?
 
Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
unalosema ndio asili ya maandamano yanayofana.Kila mtu kuna kitu kinamgusa au tuseme wengi wameona.
Maandamano ya kesho ni Chadema peke yao tena uongozi wa juu wenye tamaa na uongozi.
Waliobaki mpaka familia ya Ali Kibao hawafahamu kinachoendelea.
 
unalosema ndio asili ya maandamano yanayofana.Kila mtu kuna kitu kinamgusa au tuseme wengi wameona.
Maandamano ya kesho ni Chadema peke yao tena uongozi wa juu wenye tamaa na uongozi.
Waliobaki mpaka familia ya Ali Kibao hawafahamu kinachoendelea.
Mbona jina Mohamed hamliandiki?

Anaitwa Ali Mohamed, kibao ni nickname tu.
 
Back
Top Bottom