Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kututishaYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Exactly 💯Watakosa michongo baadhi mkuu
Yaaani sijawahi fatilia siasa hapa nimekaa naangalia animated muvi ya raya and the last dragon 🐉 😅😅Hahaa 😂
Tena kuna FFU ndiyo kwanza wamemaliza mafunzo, wana hamu kweli ya kutembeza mkong'oto.Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Hapo uliposema hupendi siasa congratulations 👏 but you know upo under siasa '?Yaaani sijawahi fatilia siasa hapa nimekaa naangalia animated muvi ya raya and the last dragon 🐉 😅😅
"Kifo ni KIFO TU" By SamiaHakuna atakayeishi milele..))
"Kufa ni kufa".....
Isipokuwa raia ndiyo wanaruhusiwa kutumia nguvu eeh?Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
unalosema ndio asili ya maandamano yanayofana.Kila mtu kuna kitu kinamgusa au tuseme wengi wameona.Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Aaaah wacha watuongoze tu mkuuHapo uliposema hupendi siasa congratulations 👏 but you know upo under siasa '?
Hahaa 😂 😂 😂 Kuna watu wameshakula hela wakaandamane mnawaogopeshaTena kuna FFU ndiyo kwanza wamemaliza mafunzo, wana hamu kweli ya kutembeza mkong'oto.
Ok, ukitoa siasa wewe ni mtu wa? Incase of uchumibaseAaaah wacha watuongoze tu mkuu
Na polisi wasipoyazuia basi watasababisha kutoaminiwa kwani huko nyuma wamezuia maandamano kiabao ya waliotaka kuandamana kwa sababu ndogo ndogo tu bila kutishia amani ya nchi.Ole wake mtu aandamane wakati kuna marufuku ya Polisi, tunafyeka
Mbona jina Mohamed hamliandiki?unalosema ndio asili ya maandamano yanayofana.Kila mtu kuna kitu kinamgusa au tuseme wengi wameona.
Maandamano ya kesho ni Chadema peke yao tena uongozi wa juu wenye tamaa na uongozi.
Waliobaki mpaka familia ya Ali Kibao hawafahamu kinachoendelea.
Ni kweli .Ni ile haraka tu ya kuandika huku nakunywa maji.Mbona jina Mohamed hamliandiki?
Anaitwa Ali Mohamed, kibao ni nickname tu.
Mimi nadeal na mambo yangu binafsi mkuu sina mambo ya kufatilia mambo ya uchumi sijui dola imeshuka sijui imepanda nk mimi sipendi na sifatilii siasa, nadeal tu na mambo yangu mkuuOk, ukitoa siasa wewe ni mtu wa? Incase of uchumibase
Waende tu, tutawaona youtube.Hahaa 😂 😂 😂 Kuna watu wameshakula hela wakaandamane mnawaogopesha