Rudi kwenu Micheweni acha kutisha watu kima weweYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kwenu Micheweni acha kutisha watu kima weweYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Ndio utaje sasa hayo mambo yako hata moja, au ni utekaji 😂Mimi nadeal na mambo yangu binafsi mkuu sina mambo ya kufatilia mambo ya uchumi sijui dola imeshuka sijui imepanda nk mimi sipendi na sifatilii siasa, nadeal tu na mambo yangu mkuu
Nyie na ndimi zenu ndio mtawaharibia bila kujua , Tanzania si kisiwa subiri watu waumizwe ukawasaidie ICC. Huwezi kuonea watu Jumuiya ya Kimataifa ikuache, hakuna National Sovereignty kwenye kuonea raia wasio na hatia, maandamano ya amani ni takwa la kisheria.Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Yaani wangepasua vichwa kama vinne hivi kama alivyofanya mzee Ruto kule Kenya ingekuwa poa saanaYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Hizi kenge zimefikia hatua zinataka watanzania waache kuzifuatilia Simba na Yanga eti wafuatilie hii SACCOS ya mzee MboweMimi nina uhakika kuna siku watanzania wataingia barabarani
Ila sio kwasababu ya matapeli Chadema, hizo kenge hazujui zinatafuta nini...
Itaanzia machame kuelekea machine toolsTunaomba route ya maandamano tatadhali!
Ndio wapi huko?Itaanzia machame kuelekea machine tools
Alikozaliwa Mzee MboweNdio wapi huko?
Bibi yule kazaliwa wapi?Alikozaliwa Mzee Mbowe
Kama kuna siku nitakuwa na furaha ni siku ambayo huyu mzee atapata anachostahili.Mbowe awe mstari wa mbele, asijifiche alafu watu wanaumizwa yeye asije maandamano, maana Mbowe ndio katangaza maandamano, tahadhari kubwa ishatolewa, ni marufuku kuandamana bila kibali cha polisi, mtu mbabe aandamane hiyo kesho, kilio kitakuwa kikubwa sana
Umenitinga kinoma 😄😄😄😀😀Ndio utaje sasa hayo mambo yako hata moja, au ni utekaji 😂
Tufanye basi mkuu 😂,fani yako ni ipi au kipajiUmenitinga kinoma 😄😄😄😀😀
Tatizo Viongozi wa CCM wana hisi kwamba CHADEMA ni watu kutoka sehemu nyingine na sio raia wa Tanzania, wanasahau kwamba CHADEMA ni jina tu la chama ila watu ni wale wale ambao wanasali wote,wanalia wote misiba humo mitaani, wanakusanya kodi zao, nkSijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Na anaemsifia mzee Mbowe ujue akili yake inaongozwa na cha ArushaYule bibi,ukiona anayesifia, ujue ni fisadi, au amepewa cheo
Akili kama hizi huwezi kuzikuta Sehemu yeyote ile, zaidi ya hapa TANZANIA TU. 😑TUNA IMANI NA MAMA SAMIA.View attachment 3103086. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
Tatizo kubwa la chadema ni kuendekeza ukabila kuwa wachagga haswa wa machame ndio cream ya nchi ,jamani hii nchi ina makbila zaidi ya 120 ,haitaka itokee hii saccos ikaongoza nchi yetu.NEVERTatizo Viongozi wa CCM wana hisi kwamba CHADEMA ni watu kutoka sehemu nyingine na sio raia wa Tanzania, wanasahau kwamba CHADEMA ni jina tu la chama ila watu ni wale wale ambao wanasali wote,wanalia wote misiba humo mitaani, wanakusanya kodi zao, nk