Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mmesimama wapi nije mnipe hela ya kula?TUNA IMANI NA MAMA SAMIA.View attachment 3103086. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmesimama wapi nije mnipe hela ya kula?TUNA IMANI NA MAMA SAMIA.View attachment 3103086. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
Ongea kwa kiswahili sijakuelewa 😂Anhaaa hilo tu okay me ni veterinarian mzee mzima kipaji ni disc jockey 😂😂
Kwani mkuu watu kuandamana si haki yao kikatiba au kwasababu wewe katiba kuivunja huoni shida?Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Kifo ni kifo tuYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Aaaah wapi huo ni uwongo kipaji djOngea kwa kiswahili sijakuelewa 😂
Halafu sijui kwanini serikali inachezeshwa shere na wapinzani na wao wanajaa kwenye mkenge kwa kutumia gharama kubwa kukusanya asikari kutoka sehemu mbalimbali nchini kuzuia maandamano yaliyo katika katiba.Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Sema tu mie huwa sipendi unakuta kiongozi anahutubia mbele unakuta huku nyuma wafuasi wanaitikia AMINA! AMENI! EIMENI Sasa hiwa najiuliza hivi hiki ni chama cha siasa au kikundi cha dini? Hapo tu siwaelewagi hawa CHADEMATatizo kubwa la chadema ni kuendekeza ukabila kuwa wachagga haswa wa machame ndio cream ya nchi ,jamani hii nchi ina makbila zaidi ya 120 ,haitaka itokee hii saccos ikaongoza nchi yetu.NEVER
Au wanapojiita makamanda huwa wanaimanisha nini ?hii ya dini wanadanganywa na yule Askof ShooSema tu mie huwa sipendi unakuta kiongozi anahutubia mbele unakuta huku nyuma wafuasi wanaitikia AMINA! AMENI! EIMENI Sasa hiwa najiuliza hivi hiki ni chama cha siasa au kikundi cha dini? Hapo tu siwaelewagi hawa CHADEMA
Raia ndio wenye nchi bibi..Isipokuwa raia ndiyo wanaruhusiwa kutumia nguvu eeh?
Mnatumia gobole kuangusha papai🤐Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Kumuua Ali Kibao pia ilikuwa ni Amri halali?!Kukiuka amri halali ya Polisi
Wale ni wahuni na wanatafutwaKumuua Ali Kibao pia ilikuwa ni Amri halali?!
Unasimama na mama!? Endelea kusimamia hivyo hivyo. Ila kula mwenzako , anakula na wanawe akina Abduli.TUNA IMANI NA MAMA SAMIA.View attachment 3103086. SAMIA WETU KWA MAENDELEO . NASIMAMA NA MAMA .
Unasimama na mama!? Endelea kusimamia hivyo hivyo. Ila kula mwenzako , anakula na wanawe akina Abduli.
Ni kweli kabisa, dawa ya meno ukiikamua bila kufungua kizibo, inatokea popote.Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Mbowe anakula na wewe sio ?hii misukule ya mzee mbowe ni bure kabisaUnasimama na mama!? Endelea kusimamia hivyo hivyo. Ila kula mwenzako , anakula na wanawe akina Abduli.
Mbowe anakula na wewe sio ?hii misukule ya mzee mbowe ni bure
Hivi hujui kwa nini mmepewa jina la misukule ya mzee Mbowe?Msukule baba yako , angepiga nyeto asingeijaza Dunia na takataka.