Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Alafu fungua sasa PM nikwambie ile issueπ€£πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu fungua sasa PM nikwambie ile issueπ€£πππ
Maandamano ya Nini Na liniHata kwa kulipwa siandamani ng'oo π
Cassnzoba
Gifted Girl
sweery
Alice_
Vincenzo Jr
Fake P
kipanga85
Niwaheri
Mbona pm yangu ipo wazi ππAlafu fungua sasa PM nikwambie ile issue
Unakuta mwanaume anafunga pm ya nini sasa πππππMbona pm yangu ipo wazi ππ
Kwa KOSA gani?!Polisi wawashighulikiw bila huruma
Mkuu maandamano yanahusu nnAtakayejaribu atajuta uamuzi wake kaburini
Ya wafuasi au Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Maandamano ya Nini Na lini
πππWana shida pahala na ukiona Kuna demu kafunga pm humu ujue huyo ni kidume sio demuUnakuta mwanaume anafunga pm ya nini sasa πππππ
Oke nakuja kama hivi πMbona pm yangu ipo wazi ππ
Kukiuka amri halali ya PolisiKwa KOSA gani?!
Anhaaa basi sawa nafata kanuni ya yesuYa wafuasi au Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
ππOke nakuja kama hivi π
Zinasambaaa wacha waje tutashiriki nao kusafisha jiji . Ntakua maeneo ya ubungoYeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Watakosa michongo baadhi mkuuπππWana shida pahala na ukiona Kuna demu kafunga pm humu ujue huyo ni kidume sio demu
Hahaa πAnhaaa basi sawa nafata kanuni ya yesu
Ya kaisari tumwachie kaisari tu kwa kweli sisi wengine hatuwezi siasa
Na ww mbona unatishaaAcha kuwatia hofu watanzania wewe ni dikteta, acha mambo ya hovyo.