Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Unapenda vya bure sana na unaona raha kusaidiwa na inaonekana we ni nyonge sana kuwa tu marooo kama vp ulelewa mazima. What af this nigga?!!
 
Fedhuli sn hilo dola ila watu wake wako poa.me ukiniambia wazungu wanaongoza kw kutoa misaada takuelew maana ht usipoambiw unaona jnc wanavosaidia.mwarab roho mby sn ingw s wote
kwa taarifa yako hiyo misaada ya wazungu ni mipesa ya riba ya waarabu wanaowekeza huko katika mabenki ya ulaya
 
shia kuffaar watabweka sana hapa msinifokee tafadhali
 
ulipo otea mti ndio penye shina
 
Wasaudia weekend wanavuka kwenda BAHRAIN wanakodi Floor nzima ya HOTELI wanapiga MITI mabinti MAKAHABA na KUNYWA POMBE watakavyo, weekend ikiisha haoooo SAUDIA wakavuu & Wepesi. kwa Unafiki WASAUDIA noma.
NAO NI BINADAMU WANAHISIA
 
hamna kitu hapo..
alitandikwa Afghanistan,akatandikwa Iraq,akatandikwa Libya wale waliosema wangesaidia mataifa hayo walijiunga na washambuliaji..
Saudia kinachomlinda ni kule kujihemusha kwa Marekani..
full stop.
MKIENDA KUNA MAENEO YAPITIENI MBALI KISIJE KUWAKUTA CHA KING ABRAHA
 
Sio kusaidia nchi masikini, sema kusaidia nchi masikini za kiislam au zenye Waislam

Msaada wao upo kimrengo wa kidini
 
Too late my dear friend! By the way ISIS wanafanya hiyo kazi bila malipo. You and I know Saudi kingdom is on its deathbed.
Na angejua nani ameliunda taifa lile na kwa dhumuni gani na naniameshika remote Wala asingeumiza kichwa. Kama wameboresha uhusiano na wazayuni sijui nini kimebaki
 
Katika top 3 ya nchi zinazoongoza kwa ubaguzi wa rangi hoi nchi ipo. Ni wanafiki sana wanawabagua waafrika na kuwafanya watumwa mpaka leo hii
Hawa jamaa wana roho mbaya sana wanatesa dada zetu wanaoenda kufanya kazi za ndani kama mbwa. U-TAKATIFU u wapi?
Halafu bado watu weusi hususan Wabongo akina Shabani Mwambenja na Marium Mgosi wakienda huko wanahisi wamefika peponi, kumbe wanaonekana Nguruwe

Wabillah Tawfiq,
 
Acha upumbavu eti Saudia taifa takatifu wakati ni takataka tu. Anayweza kuwahakikisha usalama Saudia si waislam wala makafiri bali Marekani ambaye siku zote ndiye aliyeiweka nyumba ndogo Saudia. mengine ni longolongo na utumwa wa kujitakia. mmeshindwa kulinda wake zenu mtaweza kulinda saudia?
 
Hauhitaji kuwa na shahada ya chuo kikuu kuona namna nchi kadhaa zinavyojipanga kuiporomosha Saudia kiuchumi na kiusalama? ikiwemo Iran?
Sasa kama wenzao Iran ya Ayatollah wanapanga kuiporomosha, wewe ni nani hata ukaikingie kifua huko?πŸ™„

Iran unaifahamu vzr? Unao uwezo wa kuikabili au porojo tuu?!!!
 
Saudi Arabia ni nchi ya ki-mafia aisee ukiona jinsi wanavyoua watu wa YEMENI huku wakimpa hifadhi rais aliyeondolewa madarakani utajiuliza kunani? pia nilistuka pale walipo-react baada ya kumnyonga mhubiri wa dini
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona mwanzo uliwaita WATAKATIFU?!!!
 
Ujinga nao ni kipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…