Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Eti Nikome Khaaa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Naona siku hizi msimamo wako umebadirika unaona huu uzi ni pumba wakati ume_like sana comments za Joshua ngoja nifukue makaburi ukome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Nikome Khaaa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Naona siku hizi msimamo wako umebadirika unaona huu uzi ni pumba wakati ume_like sana comments za Joshua ngoja nifukue makaburi ukome
Mungu gan mkuu wakat MUNGU ndio alo ahidi kama Qaaba ita haribiwa kabisa ama umeasahau mkuu ama hujawah sikia hili ?!Note my words... Mungu adanganyi, haitotokea hata cku moja ikapigwa saudi arabia... Mi naamin hivo 7b Mungu kaahid hilo... Na ndo mana saudi arabia inalibdwa na nchi za magharib
Nalinalo unga mkono ukhanithiTAIFA TEULE LINAUNGA MKONO UNYAMA WANAOFANYIWA PALESTINE, IRAQ, LIBYA, MISRI NA SASA LINAUNGA MKONO ISIS? acha mzaha.
FACTS MKUUTofauti ya Italia na Saudi Arabia ni hii; Italia ni inchi inayojiategemea na kujiangalia yenyewe wakati Saudia ni nchi kibaraka wa USA, na ndio upenyo wa US kufanya mambo yake huko mashariki ya kati... Nadhali Trump ana ziara hivi karibuni kwenda kuimalisha uhusiano na kibaraka wake, ambaye huwa yuko against na nchi zingine za kiarabu.. Sasa kwa taarifa yako Italy hawana cha kujifunza kwa Saudia, hata sisi tu TZ hatutakiwi kujifunza kwa hao wanafiki kwa Waislamu wenzao.
Hakika mkuu nisuala la muda tuuh bhaaaasHuahitaji kuwa na elimu kubwa kufahamu kuwa Saudi Arabia itapigwa muda si mrefu.
Hehehehe[emoji2][emoji2][emoji23]kwa hiyo mkuuu mmejipanganje kuwabomoa hao watkaoigusa Saudia?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] madhara ya viroba kupigwa marufuku watu wanathink below human standard
Kashatandikwa tayariHuahitaji kuwa na elimu kubwa kufahamu kuwa Saudi Arabia itapigwa muda si mrefu.
Ongeza sauti wasikie vyemahahaha! US anamkubali saudi wakati ufalme huu umewekwa na Wao baada ya 'kumchinja' ikulu ya saudi faysal. Hujui kua fahad alikua trained US.? Hawa saudi wanapata msaada wa kijeshi kutoka US. Ufalme wa saudi ni kinyago kilichochongwa na US hakiwezi mtisha. Ogopa sana haya mataifa yaitwayo matakatifu, ndio yaongozwayo na wicked leaders na wanasurvive kwa cover ya utakatifu. Na bahati mbaya sisi 'waafrika' sababu ya 'ujinga' wa 'ushabiki wa dini' tunawatukuza.
Haya naongeza sasa, GOD BLESS ISRAEL AND SAUDI ROYAL FAMILY!😎😎Ongeza sauti wasikie vyema
EmeeeHaya naongeza sasa, GOD BLESS ISRAEL AND SAUDI ROYAL FAMILY![emoji41][emoji41]