Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio vyote yaani wao ndo mother of all terrorist groupTuseme Saudia wanawasupport vikundi vya ugaidi duniani sio?
You nailed it [emoji817] [emoji817]Kwa vile kila damu ya waislamu inapomwagika kuna mkono wa Saudia, basi na wao watapigwa tu hadi miji yote mitakatifu irudi mikononi mwa waislamu. Na waislamu wote wewe salama dhidi ya fitna za Saudia
Duh!![emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe mbulula kabisa,Saudi imewahi kulete msaada gani TZ?tende na maziwa ya ngamia? Kwanza Saudi ndio mfadhili mkubwa wa magaidi duniani hasa alqaeda na Isis,utakatifu wao uko wapi?unajua watu wangapi wananyongwa Saudi kwa makosa ya kijinga kabisa? Mpk leo wanawake hawaruhusiwi hata kuendesha magari Wala kuwa wanasiasa!nchi ya kidhalim kabisa ile,kajisomee upya uje apa,sio unakurupuka km mlevi wa togwa
Saudia siyo nchi ya kiislamu ni nchi ya kigaidi na inaongozwa na magaidi ambao wanakalia kimabavu sehemu takatifu za waislamu ipo siku waislamu watazikomboa sehemu hizo dhidi ya hawa magaidi walioziteka na kuzitawala kwa sasaHUJITAMBUI WEWE, SAUDIA ilishavamiwa siku nyingi na wamarekani. Na ndio maana hata usilamu wao unatia shaka.
Lakini wana ishia kuwalisha magaidi dah very sadSaudia si mchezo aisee ina utajiri wa kulisha dunia nzima
Ajiandae tu huyo MBS wako damu ya kashogi bado inamliliaLong Live Crown Prince MBS
Sehemu za kimanzichana, Mkuranga, kibiti, wasaudia wamesaidia miradi mingi ya visima vya majiSaudi ni makafiri,wanaua watu bila hatia.
Mleta uzi anasema wanasaidia sijui nchi gani,za kiislamu,Ni wabaguzi tu.
Wasaidie na Italy,kenya na Kilimanjaro huko uchagani wapeleke msaada
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Inasikitisha sana kwa mtu kama weweSehemu za kimanzichana, Mkuranga, kibiti, wasaudia wamesaidia miradi mingi ya visima vya maji
fact ni kuwatetea?Inasikitisha sana kwa mtu kama wewe
Kuwatetea watu hawa ambao dunia nzima inajua uovu wao.
Inawezekana ukawa haujafahamu ukweli au unajitoa tu ufahamu
mkuu upo saudi arabia?Karibu Saudia Mheshimiwa Pompeo
Matokeo ya misaada yao tuliyaonaSehemu za kimanzichana, Mkuranga, kibiti, wasaudia wamesaidia miradi mingi ya visima vya maji