King Mavugo Mnyama
Member
- Feb 7, 2018
- 11
- 2
Mmmhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saudi Arabia ni nchi ya ki-mafia aisee ukiona jinsi wanavyoua watu wa YEMENI huku wakimpa hifadhi rais aliyeondolewa madarakani utajiuliza kunani? pia nilistuka pale walipo-react baada ya kumnyonga mhubiri wa dini na watu kuvamia ubaloz wao Tehran kisha wakadai wamekata mahusiano ya kibaloz na Iran ghafla n
a wafuasi wao huku Afrika nao (Sudani, Somali n.k) wakafuata nyao za bwana mkubwa bila kuhoji. Aisee mwenye pesa hata akinya mavi yake yataliwa tu kisa pesa.
Mkuu nchi kama saudia haina njaa kama sisi,wanaongoza kwa kutoa mafuta duniani,jaribu kufanya re_search kabla ya kuandika.Saudi wanachuma pesa za maskini toka vinchi maskini vya kiafrika kama Burundi, Niger, Mali, Chad eti mtu anaenda kuhiji (baadhi kwa kujibana miaka kukusanya pesa , wakati hata kibanda hana, ukiwakuta pale Bole Int'l Airport (Addis Ababa) wakisubiria ndege ET utawaonea huruma mtu mzima kajifunga shuka utadhani katoka jando. Anawapelekea Dola waarabu huko Saudia, yeye akirudi huku njaa kali Daah hizi dini hizi asee!!
Waanze kuwasaidia Waarabu wenzao toka SYRIA wanaodhalilika njiani wakililia kufika Ulaya. Wakimaliza Wafanye Hijja bureMkuu nchi kama saudia haina njaa kama sisi,wanaongoza kwa kutoa mafuta duniani,jaribu kufanya re_search kabla ya kuandika.
Ha ta msipokwenda kuhiji miaka 200 hamtaiathiri saudia kivyovyote.
Kuhiji hawajakulazimisha na wakitaka wanaweza hata kuwalipia mkahiji bureee.
[emoji15] [emoji2] mbona hujamalizia kugharamia magaidi ya ISIS mashariki ya Kati yote mpaka yemeni yanayochinja watu Kama kuku....kwa maelekezo ya Marekani mkuu...Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Na sio waislam wale wamevaa mavazi ya kiislam tu...Saudia sio takatifu ila INA maeneo takatifu. Na wala haiongozwi kiislamu Bali na walfame wanaofuata dini ya kiislam.
Saudia na Syria hawapatani hata kidogo mkuu Syria inasaidiwa na Iran,Saudia ipo radhi kuishambulia Syria kuliko kuisaidia.Saudia ni ndugu zetu wa damu nakumbuka walipata msiba Tulienda kutoa pole Riyadh. Takbiiir
Dunia ya sasa hivi imekuwa kijiji,huu ni mtandao wa kijamii kama mitandao mingine hivyo si lazima kuongelea ya Tanzania,unachokiandika hapa mtu sehemu yeyote ile duniani anachangia na anasoma na si kila mtu humu udhani ni mtanzania wengine ni wa mataifa.Ya Tanzania tu yanawashinda sembuse ya Saudia. Watanzania kwa mbwembwe na maneno hatujambo
Upo na nan kweny kulifuta ilo taifa litakalo ipiga saudia katika USO wa dunia ?Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.