Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Nimesoma hii taarifa neno kwa neno, mstari kwa mstari, lengo kujua alietoa tamko hili zito na la kibabe hivi nani, kumbe joshua_ok
Hahahhaaaa joshua bana.
 
Hii ni hadaa ya mwaka! Saudia ana nguvu gani za kupiga na adui wake wa kweli? Kama mpaka sasa inapelekeshwa puta na kanchi kadogo kamaYemen kasiko kuwa najeshi to speak about hakana resources zozote za maana leo hii Saudia ndiyo ijitie kukomalia nchi kama Iran,Qatar,Syrian nk.

Kwanza Wanajeshi wakupigana
watawatoa wapia? Au watatumia wanajeshi wa kukodi -Taifa lililozoea starehe na kufanyiwa kazi na wageni alina uwezo wakupigana na majeshi mahili - nani ambaye hajui Wasaudia walivyobweteka.

Saudia inajifanya ngangali wakitegemea kusaidiwa na USA mambo yakiwaendea vibaya - swali ni,je, America inaweza kweli kukubali kugharimia adventures za Saudia zisizo na mshiko/kichwa wala miguu zaidi ya kutaka kulinda Ufalme wa koo moja unao tawala
bila yakuwa na ridhaa ya wanachi wa Saudia -hawakuchaguliwa kidemokrasia hata kidogo,wako radhi Taifa lao liangamie kwa kulinda Utawala wa Kifalme husiondolewa madarakani kwa nguvu za wananchi walio choshwa kutawaliwa kiguvu na ukatili husio kifani
 
Saudi Arabia ni nchi ya ki-mafia aisee ukiona jinsi wanavyoua watu wa YEMENI huku wakimpa hifadhi rais aliyeondolewa madarakani utajiuliza kunani? pia nilistuka pale walipo-react baada ya kumnyonga mhubiri wa dini na watu kuvamia ubaloz wao Tehran kisha wakadai wamekata mahusiano ya kibaloz na Iran ghafla n

a wafuasi wao huku Afrika nao (Sudani, Somali n.k) wakafuata nyao za bwana mkubwa bila kuhoji. Aisee mwenye pesa hata akinya mavi yake yataliwa tu kisa pesa.

Si unajua tena Mkuu, Waafrika kazi yetu ni kuganga njaa - we mambo ya Mashariki ya kati Sudan na Somalia yanawahusu nini????
 
Saudi wanachuma pesa za maskini toka vinchi maskini vya kiafrika kama Burundi, Niger, Mali, Chad eti mtu anaenda kuhiji (baadhi kwa kujibana miaka kukusanya pesa , wakati hata kibanda hana, ukiwakuta pale Bole Int'l Airport (Addis Ababa) wakisubiria ndege ET utawaonea huruma mtu mzima kajifunga shuka utadhani katoka jando. Anawapelekea Dola waarabu huko Saudia, yeye akirudi huku njaa kali Daah hizi dini hizi asee!!
Mkuu nchi kama saudia haina njaa kama sisi,wanaongoza kwa kutoa mafuta duniani,jaribu kufanya re_search kabla ya kuandika.
Ha ta msipokwenda kuhiji miaka 200 hamtaiathiri saudia kivyovyote.
Kuhiji hawajakulazimisha na wakitaka wanaweza hata kuwalipia mkahiji bureee.
 
Mkuu nchi kama saudia haina njaa kama sisi,wanaongoza kwa kutoa mafuta duniani,jaribu kufanya re_search kabla ya kuandika.
Ha ta msipokwenda kuhiji miaka 200 hamtaiathiri saudia kivyovyote.
Kuhiji hawajakulazimisha na wakitaka wanaweza hata kuwalipia mkahiji bureee.
Waanze kuwasaidia Waarabu wenzao toka SYRIA wanaodhalilika njiani wakililia kufika Ulaya. Wakimaliza Wafanye Hijja bure
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Saudia ni ndugu zetu wa damu nakumbuka walipata msiba Tulienda kutoa pole Riyadh. Takbiiir
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
[emoji15] [emoji2] mbona hujamalizia kugharamia magaidi ya ISIS mashariki ya Kati yote mpaka yemeni yanayochinja watu Kama kuku....kwa maelekezo ya Marekani mkuu...
 
Saudia ingekuwa taasisi tungeiita BAKWATA
1.Ukiacha Hijja inawasaidia nini Waislam
2.Terrorism Breeding
Nani asiyelijua hili ?
3.Palestine
Hivi Palestine na unyonge wao sio tu Saudia imeshindwa kuwasaidia bali inawakandamiza
4.Fitna
Fitna ya Saudia ilikuwa wazi Egypt kumng'oa Morsi
Iko wazi Qatar
Iko wazi Lebanon
Iko wazi Yemen
Iko wazi Somalia
Badala ya Saudia kuwa mpatanishi wanakuwa wapiganishi
5.Ukike
Saudia imekuwa kama Mwanamke kwa US inaingia popote pale inapopataka
Yaani US ndio mlinzi mkubwa wa Saudia
6.Misaada
Wanayoitoa ni ya kitoto yaani tende na makombo ya mbuzi na ngamia
7.Utengano
Miaka ya 90 kurudi nyuma waislam wa EA soote tulikifunga na kufungua mwezi wa Ramadhan bila tofauti baada ya 1990's vijana wengi kutoka kusoma Saudia ndio zikaanza hizi tofauti za kijinga
Nakumbuka ktk kipindi kimojawapo cha "Jenerali on Monday" mmojawapo wa Sheikh aliyesomea huko alipobanwa sana alikiri kwamba wanapokea tarehe ya kufunga na kufungua toka Saudi for the sake of maintaining muslim unity
Akaulizwa tena unity gani ambayo haiwahusishi wengine akabaki anakodoa
Hawa vijana waliosoma huko a minor difference tayari anakuita Kafiri
 
Sawa ukisha malza kuwa bomoa usisahau kuleta mlejesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]




We ni TAIRAAAA[emoji41]
 
Ya Tanzania tu yanawashinda sembuse ya Saudia. Watanzania kwa mbwembwe na maneno hatujambo
Dunia ya sasa hivi imekuwa kijiji,huu ni mtandao wa kijamii kama mitandao mingine hivyo si lazima kuongelea ya Tanzania,unachokiandika hapa mtu sehemu yeyote ile duniani anachangia na anasoma na si kila mtu humu udhani ni mtanzania wengine ni wa mataifa.
Mbon a instagram hawatumii us pekee?
Mkuu usifikiri internet ni radio,tena hata redio siku hizi kuna tune in.
 
Wakishaanza tu kupigana tunabomoa ile dome of rock pale jerusalem na tunasimamisha hekalu pale
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Upo na nan kweny kulifuta ilo taifa litakalo ipiga saudia katika USO wa dunia ?
 
Back
Top Bottom