Atakayeona picha ya Bashite kwenye video hii, atueleweshe alipo!

Atakayeona picha ya Bashite kwenye video hii, atueleweshe alipo!

Iangalie hadi mwisho!
Muongeaji hapo anaonekana yupo kishabiki sana na obvious hata hiyo shughuli ipo kishabiki na ni kwa lengo la kuhada wananchi 2025 hii ndo unajua wananchi wanahitaji Mitungi ya gas, ambayo leo utapika kesho itaisha, potential PM angefukiria namna bora ya kuwasaidia mazingira bora ya wao kupata pesa ya kununua Gas hata baada ya hiyo kuisha.

Hapo wapo kuwahadaa wananchi!
 
Muongeaji hapo anaonekana yupo kishabiki sana na obvious hata hiyo shughuli ipo kishabiki na ninkwa lengo la kuhada wananchi 2025 hii ndo unajua wananchi wanahitaji Mitungi ya gas, ambayo leo utapika kesho itaisha, potential PM angefukiria namna bora ya kuwasaidia mazingira bora ya wao kupata pesa ya kununua Gas hata baada ya hiyo kuisha.

Hapo wapo kuwahadaa wananchi!
Sijasikia waalipoongelea mitungi ya Gas, hapo kaongelewa DAB anaeitaka Arusha iwe chini yake na Gambo ambae sasa ni Mbunge wa Arusha
 
Sijui sana siasa na Leo yanga anashinda
Ila alichofanya makonda siku Ile haikuwa nzuri japo Gambo nae aliwahi kumfanyia Lema figisu za namna hiyo ndio maana naombea Simba na yanga zote ziende robo final ikibidi nusu final tuendelee kufurahia mpira wa afrika
 
Mkiweka video zenu, muwe mnatuwekea pia na picha bhana. Sisi wengine ni wavivu sana kufungua video, na wakati mwingine huwa tunakuwa na vi mb vyetu vichache.
 
Muongeaji hapo anaonekana yupo kishabiki sana na obvious hata hiyo shughuli ipo kishabiki na ninkwa lengo la kuhada wananchi 2025 hii ndo unajua wananchi wanahitaji Mitungi ya gas, ambayo leo utapika kesho itaisha, potential PM angefukiria namna bora ya kuwasaidia mazingira bora ya wao kupata pesa ya kununua Gas hata baada ya hiyo kuisha.

Hapo wapo kuwahadaa wananchi!
Kwa kifupi ni Mbunge.
 
Nimekubali Dini imeanza kutumika vibaya.

Amewapa waumini wenzake ubwabwa na mitungi ya gasi🤭

Hiyo gasi ikiisha kwenye mitungi fedha za kuweka gasi nyingine watakwenda kuchukua kwa mkuu wa mkoa?

Takukuru Arusha wao wamehudhuria wamekula ubwabwa ilimradi bwana Gambo apate ubunge
 
Nimekubali Dini imeanza kutumika vibaya.

Amewapa waumini wenzake ubwabwa na mitungi ya gasi🤭

Hiyo gasi ikiisha kwenye mitungi fedha za kuweka gasi nyingine watakwenda kuchukua kwa mkuu wa mkoa?

Takukuru Arusha wao wamehudhuria wamekula ubwabwa ilimradi bwana Gambo apate ubunge
Haya maneno yameletwa kwenu kwa udhamini wa Daudi Alubati Bashite kwa jina maarufu DAB
 
Gambo mwenyewe alikuwa muhunu muhunu kipindi DC na baadae RC. Hayo maneno ilibidi akumbuke yeye alipokuwa RC aliwatendeaje watu?

Sasa naona anajiliza kwa wadini wenzake. Aache siasa chafu za udini.
DAB anaitaka Arusha yaan kilichozungumzwa pale juu na Mbunge yule na kueleza kimafumbo tu laukilirauti nalaukiulirauti naraukilahimkilau umeona bwana kwamba ufalme wa Mungu umpa ufalme wake yule anaemtaka yeye hauwezi kamwe kumlazimisha Mungu akupe Ubunge wakati wewe kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa yaan anamwambia bwana DAB kwa sasa wewe ni Mkuu wa Mkoa tu hauwezi kumlazimisha Mungu akufanye uwe Mbunge wa Arusha sababu Mungu kamchagua Gambo ndio awe Mbunge wa Arusha kwa sasa, umeona mambo hayo
 
Gambo Arusha mjini, kutoboa ubunge,Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa huo ni ndoto za mchana
 
Gambo Arusha mjini, kutoboa ubunge,Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa huo ni ndoto za mchana
Gambo ni selfish,
Amesababisha uchweshaji wa ujenzi wa stand ya Mabus kwa interest zake. Kisa anataka stand ielekezwe kwenye eneo lake ambalo anaamini atalipwa fidia. Mshamba sana huyo jamaa yenu!!
 
Naona Arusha mnaaza jigawa...
Wa Gambo na Wa DAB...
Ngoja tusubiri.
 
Back
Top Bottom