Nimekubali Dini imeanza kutumika vibaya.
Amewapa waumini wenzake ubwabwa na mitungi ya gasiš¤
Hiyo gasi ikiisha kwenye mitungi fedha za kuweka gasi nyingine watakwenda kuchukua kwa mkuu wa mkoa?
Takukuru Arusha wao wamehudhuria wamekula ubwabwa ilimradi bwana Gambo apate ubunge