holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,793
- 9,101
sasa wewe mchawi gan hujui yote hayoNipe jina lako Kamili la mwanzo na jina la mama ako mzazi.. Inatosha..
Jina La baba ako usinipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa wewe mchawi gan hujui yote hayoNipe jina lako Kamili la mwanzo na jina la mama ako mzazi.. Inatosha..
Jina La baba ako usinipe
Yaan majinga makubwa.Unakuta mtu na elimu yake anaenda kwa mganga aliyeishia darasa la 7 ili apewe dawa ya utajiri,wakati huyo mganga mwenyewe ni choka mbaya,anaishia tu Kukuagiza Jogoo kisha analifanya supu na kula na wanae huku wewe ukisubiri utajiri uje kimiujiza!
😀😀
uko poa mzungu?Hello Africans.
Hawana cha kunifanya mkuuNgoja wazee wa kilinge waje
Kumbe mchawi ni mpaka asaidiwe na muhusika ndio aweze kuroga!Leta majina yako origino nikugeuze uwe kichaaa
Nisaidie bandugu🤣sasa wewe mchawi gan hujui yote hayo
kwanini usimchukue kimiujiza 😂Twende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.
Mi muafrika mjanja bana siamin nonsense😂uko poa mzungu?
Kwanini hua mnawaza huo uchawi wenu ufanye mambo mabaya tu? kwanini usimwambie kua utamfanyia uchawi ili akupe milioni 100 bila yeye kujijua?Twende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.
Asiamini uchawi, mada kama hizi akishasoma kichwa cha habari, hupita bila kuchangia bila kusoma michango ya watu.Walokole na Waislam wanaamini sana hayo mambo ya majini sijui uchawi kwaba upo una exist
Safiii sana mkuu.Mimi naongeza 500k kwa mchawi atake ni tajia pin yangu ya M-PESA
Hao watu wameenda kufanya nini hapo Hospitali? kama wana mgonjwa kwanini wasimponyeshe kwa uchawi wao?Niko na watu hapa wanaongea na mwenzie hospitalini TMJ hapa wanasoma jamiiforums huo uzi wako
Mmoja kaenda chooni akarudi akasema kachungulia akaunti yako iliyoko CRDB amekuta ina hela ndogo hizo milioni 25 hazipo
Akasema jinga tu wewe hiyo hela huna
Mie nadhani kwa kua umepania kuwa prove kua hicho kitu hakipo ungefata yale wanayokuelekeza wao, kitendo cha kukataa inaonesha hata wewe una mashaka na unachokidai,Huwezi kupiga ramli ukaviona mwenyewe? [emoji23]
Kama kweli upo serious na Milioni 25 za kulogwa,,, basi fanya hivi??
Milioni 5 fanya tangazo kama Gazeteni, nunua ukurasa pale MWANASPOTI au MWANANCHI... au mtandaoni kama FACEBOOK, Google Adsense au zingine.
Halafu hiyo Milioni 20 inatosha kabisa ndo iwe zawadi.. Na hii unaiweka kwenye Escrow Account mapema kabisa, maana unaweza ukafanywa chizi halafu hela isipatikane tena..
Zaidi ya hapo tuendelee kunywa supu Nyama zipo chini..
mchawi mpaka aende chooni 😂😂Mleta mada
Niko na watu hapa wanaongea na mwenzie hospitalini TMJ hapa naona wanga hawa wanasoma jamiiforums huo uzi wako
Mmoja kaenda chooni akarudi akasema kachungulia akaunti yako iliyoko CRDB amekuta ina hela ndogo hizo milioni 25 hazipo
Akasema jinga tu wewe hiyo hela huna