ATC ya saa 5 usiku JRO-DAR tunaondoka saa 9 alfajiri?

ATC ya saa 5 usiku JRO-DAR tunaondoka saa 9 alfajiri?

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
1. Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 na nusu alfajiri.

2. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.

3. ATC ina CEO/MD?

NB: European Union wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Wasambaze sgr kila kona
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Ungepanda Coaster ungewahi kufika......tena bila uchovu(zingatia mmelala airport).......tena ungeokoa kiasi cha fedha....
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Business as usual, uswahili swahili kila mahali
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Msiwalaumu, kuna watu wanahujumu miundombinu kwa kuiba kopa na kusababisha umeme kukatika, wataagiza injini za sola, hii ni tekinolojia mpya kutatua tatizo la ndege kuchelewa.
 
Back
Top Bottom