M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
1. Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 na nusu alfajiri.
2. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
3. ATC ina CEO/MD?
NB: European Union wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
2. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
3. ATC ina CEO/MD?
NB: European Union wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili