ATC ya saa 5 usiku JRO-DAR tunaondoka saa 9 alfajiri?

ATC ya saa 5 usiku JRO-DAR tunaondoka saa 9 alfajiri?

Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Wampe Shabiby au Abood ku manage ATC. Trust me, wataweza kabisa. Mza-Dar kwa ndege ni sawa na Chalinze-Moro kwa basi kwa kuangalia muda wa safari. Unashindwaje ku manage chombo cha usafiri wa Chalinze - Moro na una uhakika wa abiria?
 
Wampe Shabiby au Abood ku manage ATC. Trust me, wataweza kabisa. Mza-Dar kwa ndege ni sawa na Chalinze-Moro kwa basi kwa kuangalia muda wa safari. Unashindwaje ku manage chombo cha usafiri wa Chalinze - Moro na una uhakika wa abiria?
Ndege si kama mabasi ndugu. Unaajiri pilots wenye taaluma sio hao wavaa kobazi wa Magomeni Mshahara 200,000
 
TAARIFA yako haijaeleweka ,eleza hiyo NDEGE, inakwenda mkoa gani na mlikatakiwa kuondoka saangapi na na kuwasili SAA ngapi?
Tizama wino mwekundu...
1000000110.jpg
 
Ndege si kama mabasi ndugu. Unaajiri pilots wenye taaluma sio hao wavaa kobazi wa Magomeni Mshahara 200,000
Ajira ni ajira tu. Doesn't matter unaajiri dereva wa basi au ndege. Wote ni watu ambao wanauza skills zao kwako. Sasa ushindweje hapo?
 
Air Malawi kusubiri muda wote huo mngepelekwa Hotel..Watanzania huwa awajali afya za wateja wao wao hata ndege wanaichukulia kama Bus jinsi wanavyotaka kuisimamia..
 
Ndege si kama mabasi ndugu. Unaajiri pilots wenye taaluma sio hao wavaa kobazi wa Magomeni Mshahara 200,000
Muulize Bakhresa anawezaje ku manage Azam Ferry, Azam satellite TV, Azam Pesa na mazagazaga kibao. Ajiri smart people wakufanyie kazi.
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Sasa kama shirika likipata hasara bado mshahara unaingia unategemea nini ?
 
Hii ndege wanaenda kuiua wenyewe halafu waje na visingizio lukuki.....
Ikija Fast jet nyingine; Airtanzania inaenda kujifunga kwa safari za ndani; halafu walalamike hawapati abiria???
 
Wampe Shabiby au Abood ku manage ATC. Trust me, wataweza kabisa. Mza-Dar kwa ndege ni sawa na Chalinze-Moro kwa basi kwa kuangalia muda wa safari. Unashindwaje ku manage chombo cha usafiri wa Chalinze - Moro na una uhakika wa abiria?
Kumanage mabasi si sawa na ku manage ndege, is why abood hana ndege , wala haja jiingizq kwenye biashara hiyo
Si rahisi ni ni gharama sana, uendeshaji ni complex
 
Hii ndege wanaenda kuiua wenyewe halafu waje na visingizio lukuki.....
Ikija Fast jet nyingine; Airtanzania inaenda kujifunga kwa safari za ndani; halafu walalamike hawapati abiria???
Tuwe honest hakuna business serikal ina weza run 100% ikatoa service ya maana,
Ni bora wangeingia ppp katika ku manage ATCl, gov ibaki kumanage staff, Private companies wa run airplanes
 
Tuwe honest hakuna business serikal ina weza run 100% ikatoa service ya maana,
Ni bora wangeingia ppp katika ku manage ATCl, gov ibaki kumanage staff, Private companies wa run airplanes
Emirates, Ethiopian, Etihad zinaendeshwa na Serikali 100%
 
Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?

NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Sie hatujui kufanya kazi.
 
Yaani ilikuwa tuwaze kuwa na ndege mpaka ifikapo 2050 ila sio sasa
 
Emirates, Ethiopian, Etihad zinaendeshwa na Serikali 100%
Usisahau mashirika ya Serikali makubwa kabisa kama; Kenya Airways (KQ), South African airways (SA), Uganda Airways (UR) nk yote yapo ICU
 
Back
Top Bottom