M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Bado Wamelala Wamekula Futari Ya MagimbiATC amkeni
Per diemBad
Bado Wamelala Wamekula Futari Ya Magimbi
Wasambaze sgr kila konaTumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?
NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Umelewa?Wasambaze sgr kila kona
SGR hii hii inayolalamikiwa kuhujumiwaWasambaze sgr kila kona
Ungepanda Coaster ungewahi kufika......tena bila uchovu(zingatia mmelala airport).......tena ungeokoa kiasi cha fedha....Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?
NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Atalalamika akitokea wapi, futi sita ama??!!Inafanyiwa matengenezo pia rubani ana harisha sasa ukiangushwa siutakuja kulalamika kwamba oooh bora wange delay na ushuzi mwiiingi
Utakuta wako bize kuangalia asha manyonyo insta na kukokota viunoWatumishi wa serikali na biashara wapi na wapi. Anasema "Mwisho wa mwezi mshahara wangu upo palepale "
Umeshawahi kupanda Ndege?TAARIFA yako haijaeleweka ,eleza hiyo NDEGE, inakwenda mkoa gani na mlikatakiwa kuondoka saangapi na na kuwasili SAA ngapi?
Business as usual, uswahili swahili kila mahaliTumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?
NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili
Msiwalaumu, kuna watu wanahujumu miundombinu kwa kuiba kopa na kusababisha umeme kukatika, wataagiza injini za sola, hii ni tekinolojia mpya kutatua tatizo la ndege kuchelewa.Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 alfajiri. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali.
**ATC ina CEO/MD?
NB: EU wana kila sababu kuipiga pini huko kwao. Hawawez kuvumilia huu uswahili