Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
ATCL inahujumiwa na wakubwaView attachment 3042727
Hii ni precision Dm to Mwanza tarehe zile zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATCL inahujumiwa na wakubwaView attachment 3042727
Hii ni precision Dm to Mwanza tarehe zile zile
Lengo ni kuiua ATCL kabisaHii ni Dom to Mwanza ATCL bei inafika 1milion
Siyo iishie hapo waanze kununua ndege upya wapige pesaNahisi ni technic boss wao anaotumia kulihujumu ATCL ili liniendeshe kihasara lifie mbali. Wanaweka bei juu ili usikate tiketi kwao ukate ndege zingine na wao wafirisike habari iishie hapo
Simpaka waastaafu miaka 60?Hapo kwenye wahudumu wazee, Yani wanashindwa hata na kampuni ya mabasi ya Tilisho,
Au ndio ajira za kubebana,
biashara za serikali hata wangeanzisha singeri lazima ikose dosariHeshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Naunga mkono hoja bei za ticket kwenda Dubai bila kujali unaanza safari Dar, Mwanza au mkoa wowote ilitakiwa iwe sawa ni kama connection feed ya route ya Dubai sio unamcharge kama anatoka mwanza to Dar then Dar to Dubai, huu ni ujinga sana. Na sio kutoka mikoani tu wangewavuta nchi jirani kama Comoro, Congo sijui zambia unawapa cheap option za connection watu wanatafuta cheap ticket. Hilo na wahudumu kama mama ntilie sina comments. Kwenye Lugha yes naunga mkono.Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Ila gawio la serikali ambalo ni kama faida mbona wametoa hundiPrecision air wanakopa wananunua ndege used wanatoboa lakini ATCL inapewa ruzuku + ndege mpya inajiendesha kwa hasara, hapa kuna uhujumu uchumi na dili za wakubwa
Ni maigizo tupu, wametoa nini?Ila gawio la serikali ambalo ni kama faida mbona wametoa hundi
Ukianzisha safari za UAE huwezi kutegemea abiria wa Dar pekee yake.Sijakuelewa, unasema atcl hawana connection nzuri halafu unasema kwa upumbavu hawaioni waitumie, hiyo ambayo hawana lakini unataka waitumie ni ipi?
huyu jamaa kama Mama atamtumia vizuri mfano kumpa ndege zetu halafu kwenye kila mia moja serikali inachukua 65 na Masha anachukua 35....Atcl ingeshine sana,Uyu Masha jinsi alivyokuwa anaiendesha Fastjet ni bonge ni moja la akili,inakuwaje Atcl kwamwaka haina tiketi za ofa misimu yote kwa mwakaMasha ameombewa na kiboko ya wachawi, tuvute subira labda fastjest inaweza kurudi.
Siku moja natoka Mumbai kuja Dar, choo cha Business Class hakikuwa na maji. Wakawa wanazuia watu kuingia chooni. Imagine. Mabinti na Captain walikuwa wanasogoa mpaka nikawakaripia na kumweleza Captain kuwa analofanya kama kiongozi si sahii kupiga story na subordinates wake. Akanielewa akarudi katika kachumba kake. ATCL ni tatizoHeshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Dawa ya hili shirika ni serekali kuuza hisa zake na kuingia ubia kama ilivyokuwa Crdb & NMB.huyu jamaa kama Mama atamtumia vizuri mfano kumpa ndege zetu halafu kwenye kila mia moja serikali inachukua 65 na Masha anachukua 35....Atcl ingeshine sana,Uyu Masha jinsi alivyokuwa anaiendesha Fastjet ni bonge ni moja la akili,inakuwaje Atcl kwamwaka haina tiketi za ofa misimu yote kwa mwaka
Mbona CCM ilikufa akaizindua jiwe kwa kuiwekea dripu ya ruzuku toka serikalini.Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Jamaa kaishia kutaja locals tena! Aliposema Zanzibar nilimwelewa lakini kutaja Mwanza hapana bwana. Yaani unataka wawe wanabeba na abiria wa Mwanza halafu wawapitishe ndiyo waende Dar au wawe na ndege maalum ya kwenda huko? Mbona hao abiria wakishushwa Dar wanapata usafiri fresh tu!Sijakuelewa, unasema atcl hawana connection nzuri halafu unasema kwa upumbavu hawaioni waitumie, hiyo ambayo hawana lakini unataka waitumie ni ipi?
Mabinti na Captain walikuwa wanasogoa mpaka nikawakaripia na kumweleza Captain kuwa analofanya kama kiongozi si sahii kupiga story na subordinates wake. Akanielewa akarudi katika kachumba kake. ATCL ni tatizo
Hapa Tanzania tunawapa wajinga kuendesha mambo.Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Airline nyingine huwezi kuona captain anaweka kijiwe na cabin crews! Sana sana ndege ikiwa angani utamuona anaenda maliwatoni na kurudi kwao.Madhara yake ni nini? Ama una hofu ya kupaa kumuona captain nje ya cockpit. Ingekuwa airline nyingine wala usingefanya chochote kwa captain.
Ni kweliHapa Tanzania tunawapa wajinga kuendesha mambo.