Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 460
- 373
Sioni dalili yoyote ya ATCL kujiendesha kwa kwa faida na kushindana na makampuni mengine ukiwa itaendeshwa na Watz, Asilinia kubwa ya Waafrika hasa Wabongo wana weakness ya asili hata aende shule vipi! ndio maana shirika ili linaleta hasara kila mwaka. Napendekeza lifanyiwe overhaul na uongozi nzima uchukuliwe na Wazungu wenye sifa kutoka Ulaya na Marekani.