Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Kwenye habari za Channel 10 ya Saa 1:00 jioni leo tarehe 19/ 04/ 23, kuna habari inayosema ATCL ina mpango wa kushirikiana na Shirika la Ndege la Kenya maarufu kama KQ.
Kama habari hii ni ya kweli, nashauri Watanzania tukemee mipango hii kwa vile uzoefu unaonyesha ushirikiano hauna tija Kama ifuatavyo;
1. Alliance Air ikihusisha SAA na Uganda Airways ilishirikiana na Air Tanzania kwenye 1994 hadi 2002 na matokeo yake tulifilisika vibaya
2. Kenya Airways ilishirikiana na Precision Air kwenye miaka ya 2000, na baada ya hapo Precison ilidhoofu vibaya
3. Kwenye miaka ya 2001 hadi 2006 ATC ikawa washirika wa SAA na tukafa moja kwa moja
Nashauri tukatae ubia wowote na mashirika ya Africa. Labda kama kuna haja tutafute ushirika na mashirika ya Ulaya au Middle East
Kama habari hii ni ya kweli, nashauri Watanzania tukemee mipango hii kwa vile uzoefu unaonyesha ushirikiano hauna tija Kama ifuatavyo;
1. Alliance Air ikihusisha SAA na Uganda Airways ilishirikiana na Air Tanzania kwenye 1994 hadi 2002 na matokeo yake tulifilisika vibaya
2. Kenya Airways ilishirikiana na Precision Air kwenye miaka ya 2000, na baada ya hapo Precison ilidhoofu vibaya
3. Kwenye miaka ya 2001 hadi 2006 ATC ikawa washirika wa SAA na tukafa moja kwa moja
Nashauri tukatae ubia wowote na mashirika ya Africa. Labda kama kuna haja tutafute ushirika na mashirika ya Ulaya au Middle East