ATCL Kaa Mbali na Ushirikiano na KQ

ATCL inatakiwa kujiimarisha kwanza kufikia level moja na KQ ndipo waanze kushirikiana...lakin kwa ss wasipoangalia watapigwa na kitu kzito kichwan...NB:ndege wafananao huruka pamoja.
 
Jiulize KQ wameweza? Shida huwa tunadharau bila kufatilia taarifa za wengine. Kuna mbinu nyingi zinafanyika ili kulimaliza hili shirika. So sad
Hiyo inaitwa kipofu kumuongoza kipofu mwenzio, je mutafika wapi?

Au huwezi kuunganisha vilema wawili ili upate mtu mzima mmoja
 
Mawazo yako ni mazuri na yanaeleweka lakini "Strategic Partner" ndiyo haaminiki. Atatuzamisha kama alivyo grab mali za iliyokuwa East African Airways mwaka 1977.

Waulize wakongwe chanzo cha neno NYANG'AU utaelewa naongea nini.

Tushirikiane na Kenya kwa tahadhari sana
 
nashauri Wakenya tushirikiane nao kwenye chakula pekee tuwe tunapiga pesa kwa kuwapelekea chakula, hiyo ndiyo sekta pekee tunapaswa kushirikiana nao mana kwenye njaa hawana ujanja, ni wavivu kulima na wazembe
Tuwauzie Chakula tu mengine Big NO, alafu msosi wanakufuata shambani
 
Hivyo ndivyo airlines zinavyofanya operation zao duniani ili kupata wateja wengi wa kimataifa.

Kufanikisha hilo unahitaji ‘hub and spoke network strategy’ kuna mashirika wana ndege na route za kutosha; na wengine wanahitaji strategic alliance.

Trafsiri tu ya ‘strategic alliance/partnership’ maana yake kila shirika litafaidika kuimarisha operation zao.

Hakuna mtu anachangia chochote kwa mwenzake in physical asset, ni kubebeana abiria tu kimkakati. Na sioni ATCL kuwahitaji wakenya locally, itakuwa kwa safari zao za masafa marefu ili watanue soko la abiria wa nchi za africa mashirika kwenda na kurudi kwa sababu Kenya airways ni frequent regional flier kushinda ATCL.

Hakuna mtu anaweka mali kwenye huo ubia ni kulipana tu ili kubebeana abiria kukuza biashara kwa wote.
 
Kama hiyo ndiyo tafsiri basi haina shida
 
Kama hiyo ndiyo tafsiri basi haina shida
Shida ipo, na inaanza na kueleweshana kisomi kisha wanaishia kusema "yaliyopita si ndwele"

Shirika la ndege limekufa mara ngapi?
Hakuna tulilojifunza? Hakuna mwenye historia yake?

Ni kweli tunahitaji ubia kusonga mbele? Hatujawahi kuingia ubia? Ikawaje?

Sukuma gang, ulimaanisha nini?

PW inakufa, TRC, TAZARA, Tanesco, NIC, yote yako taabani, na sio leo, ni tangu enzi na enzi! Staff wanang'aa na ukwasi wa kufuru, shirika linakufa, ndio mtindo uliokuwepo na sasa umerudi.
 
Wajanja kama Kenya wakikuomba ushirikiano ujue wanataka kukuua. Ni mkakati wa kukuondoa sokoni. ATCL wakae mbani na Kenya. Wapambane tu au kua makini inapobidi kushirikiana. Wenzetu ni nyang'au hawanaga mzaha kwenye biashara.
 
Wenzetu wana uzalendo sisi maslahi binafsi kwanza hivyo lazima tulizwe.
 
ATCL imeshindwa tayari acha washirikiane na KQ.watanzania tunawaogopa sana wakenya hasa kwenye swala la mambo ya uchumi!
Washirikiane kutafuta nini sasa? Maana KQ yenyewe inapata hasara, na kuna ndege kibao zimekpdiwa - ambazo zinamilikiwa na "Vigogo" wao. Unataka shirika letu la Ndege likauawe huko?? Labda washirikiane kwenye "CODE" sharing.
 
Washirikiane kutafuta nini sasa? Maana KQ yenyewe inapata hasara, na kuna ndege kibao zimekpdiwa - ambazo zinamilikiwa na "Vigogo" wao. Unataka shirika letu la Ndege likauawe huko?? Labda washirikiane kwenye "CODE" sharing.
maeneo ya kushirikiana yapo mengi,mbona Precicion wanashirikiana na KQ baadhi ya maeneo kwenye shirika!
 
Wajanja kama Kenya wskikuomba ushirikiano ujue wanataka kukuua. Ni mkakati wa kukuondoa sokoni. ATCL wakae mbani na Kenya. Wapambane tu au kua makini inapobidi kushirikiana. Wenzetu ni nyang'au hawanaga mzaha kwenye biashara.
Umeliweka vizuri sana. Wakenya ni wa kiwaangalia kwa jicho la tahadhari
 
Wenzetu wana uzalendo sisi maslahi binafsi kwanza hivyo lazima tulizwe.
Uzalendo kwa Wakenya? Hapana, wale ndiyo wanaongoza kwa UFISADI. Hata neno fisadi kumaanisha mhujumu uchumi limetokea Kenya
 
Uzalendo kwa Wakenya? Hapana, wale ndiyo wanaongoza kwa UFISADI. Hata neno fisadi kumaanisha mhujumu uchumi limetokea Kenya
Hilo ni neno tu la kiswahili.
Unakumbuka issue ya vifaranga kuchomwax au mahindi kuzuiwa mpakani? Serikali na wapinzani kenya wote walitetea maslahi ya kenya.

Kwetu uzalendo haupo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…