Sasa kama mbowe hana maono hata kuijengea ofisi chadema harafu anataka kuiongoza nchi .Unadhani Mbowe angekuwa Mwizi huyo nduli angemuacha awe huru!? Narudia tena una akili fupi sana silipwi na yeyote yule kuandika chochote kile humu bali ni mapenzi kwa nchi yangu. Unafiki na mimi mbali mbali na sitaukaribisha hata siku moja. Weye na UNAFIKI wako endelea kumuunga mkono huyo mwendawazimu.
Sasa kama mbowe hana maono hata kuijengea ofisi chadema harafu anataka kuiongoza nchi .
Nyie wenye ofisi kubwa na nzuri mpo madaraka miaka 60 mmewafanyia nini Watanzania!? Mkapa mwizi na fisadi, Kikwete mwizi na fisadi huyo mwendawazimu Ikulu mwizi na fisadi. Watanzania hatuna chochote kile cha kujivunia kila kitu ni SHAKALABAGHALA.
Usisema watanzania hatuna chochote sema wewe huna chochote. Ni bora CCM fisadi kuliko chadema yenye uchu wa madaraka, ukabila na isiyo na maono.
mkuu ngapingapiππππskuizi sifungui tvUnadhani Mbowe angekuwa Mwizi huyo nduli angemuacha awe huru!? Narudia tena una akili fupi sana silipwi na yeyote yule kuandika chochote kile humu bali ni mapenzi kwa nchi yangu. Unafiki na mimi mbali mbali na sitaukaribisha hata siku moja. Weye na UNAFIKI wako endelea kumuunga mkono huyo mwendawazimu.
Good, waache uswahili tu. Other wise kudos our president
teh..teh...teh...mtalewa halafu mtayumbisha ndege!Thubutuuuu!!!
Hamna cha Safari wala konyagi hapo kila siku tunapigwa maneno matupu huku ndege zetu zikipata kutu