Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Emirates ndege yake hutoka nje ya nchi, ATCL yupo nchini na ndege zake kibao alizonunuliwa.Cancellation ya flights huwa zinasababu nyingi, mfano ubovu was ndege, uwanja kuwa na emmergence, hali ya hewa n.k. Sasa kuniambia hao watu wana zero cancellation sidhani ma kama ni kweli. Kati ya hao na Emirates nani mkubwa. Mbona Emirates husa wanacancel flights
Mkuu uongozi wa shirika si upo hapo uwambie au uongozi wa shirika upo hapa jukwaani kwa muda huu!Shirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Mwaka wa tatu huu bado unamlaumu Magufuli?Treasury Registrar anatakiwa achukue hatua ya kubadilisha BODI ya ATCL kwani waliopo hawana weledi partly Ndio maana shirika halına ufanisi!
I am sure by now una database ya kutosha kuweza kupata watu wa kuweza kulisaidia shirika!
Magufuli alijaza watu wa Tanroads wasiojua lolote kuhusu uusafishaji; şifa yao kubwa ilikuwa kumsaidia kushinda uchaguzi!
Please rectify this anomaly kuwapunguzia mzigo wananchi!
Shirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Shirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Tatizo kwa ATCL huwa hakuna mawasiliano mazuriDelays kwenye aviation ni jambo la
Kawaida. Labda kama una mfano wa kampuni isiyokuwa na delays, cancellation ya flights
Unatakiwa ujiongeze Mzee Ruksa katutoka ndege zote zitakuwa na ratiba za kuzururisha viongozi wa chama na serikali.Shirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Alimaanisha ChatoMwanza International Airport??
Nafikiri msiba ulivuruga ratiba za ndege kwa kupeleka waombolezaji ZanzibarCancellation ya flights huwa zinasababu nyingi, mfano ubovu was ndege, uwanja kuwa na emmergence, hali ya hewa n.k. Sasa kuniambia hao watu wana zero cancellation sidhani ma kama ni kweli. Kati ya hao na Emirates nani mkubwa. Mbona Emirates husa wanacancel flights
MtanikumbukaShirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Nafikiri msiba ulivuruga ratiba za ndege kwa kupeleka waombolezaji Zanzibar
Mwanza international airport na pax terminal ya namna hiyo you are joking!Mwanza International Airport??
Unabisha🤣Mwanza International Airport??
Sawa ILA abiria ambao ndio wanaowalipa mishahara ATC waliambiwa why kuna uchelewesho?au ndio ya TAZARA?,siangalii ukubwa wa shirika,emirates ni kampuni kubwa ila mimi ninaangalia efficiency, pia Kiwi cancelation yao almost ni zero, sawa na traffic officer's wa Botswana, corruption kuwa ni almost zero!!,Tanzania unapanga safari ya kwenda iringa (500km)LAZIMA u budget pia 10,000ths za rushwa, Gabbs to Kasane ni kama 800km,budget ya rushwa haipo, ila ya KFC 🍗 tu!Cancellation ya flights huwa zinasababu nyingi, mfano ubovu was ndege, uwanja kuwa na emmergence, hali ya hewa n.k. Sasa kuniambia hao watu wana zero cancellation sidhani ma kama ni kweli. Kati ya hao na Emirates nani mkubwa. Mbona Emirates husa wanacancel flights
Ndio ni kama treni tu; tofauti yake moja inapaa angani na nyingine inatambaa ardhini!Kumbe kama treni tu. Treni watu huwa wanalala stesheni. Unasubiri treni zaidi ya saa 18