Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Basi hata stendi ya Nyamhongolo nayo tuiite Nyamhongolo International Bus Terminal 🤣.Unabisha🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hata stendi ya Nyamhongolo nayo tuiite Nyamhongolo International Bus Terminal 🤣.Unabisha🤣
Sio kweliDelays kwenye aviation ni jambo la
Kawaida. Labda kama una mfano wa kampuni isiyokuwa na delays, cancellation ya flights
Qatar Airways!😀 But you pay for good service; nauli zake sio za kitoto!!Delays kwenye aviation ni jambo la
Kawaida. Labda kama una mfano wa kampuni isiyokuwa na delays, cancellation ya flights
Anashangaza kwakweliMwanza International Airport??
Acha ushamba bwana,mwanza ni international airport na ndio inavyoitwa unless hupajuiBasi hata stendi ya Nyamhongolo nayo tuiite Nyamhongolo International Bus Terminal [emoji1787].
View attachment 2922254
Kwa nini inaitwa international airport?Acha ushamba bwana,mwanza ni international airport na ndio inavyoitwa unless hupajui
Mkuu mbona ndege ni jambo la kawaida sanaAsant mkuu kwa kutupa taarifa kuwa unapanda ndege na wewe[emoji16][emoji16]
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Tuwe wazalendoShirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.
Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?
Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Ndivyo ilivyoandikwa kwenye ticket (mwanza international airport),kwa nini imeitwa hivyo,nenda kaiulize serekaliKwa nini inaitwa international airport?
Wanaumiza sana abiria, huwezi msubirisha mtu kwa masaa zaidi ya matatu na nusu,halafu usiku bila sababu ya msingiTuwe wazalendo
TAA wameshindwa hata kutii maelekezo ya Rais kuboresha uwanja wa Mwanza,hujuma ya ki kaskazini iko siku! sembuse mashine za ukaguzi,kila kitu Mwanza airport ni shidaPole sana mkuu wahusika watakua wamekusikia ila hilo la mashine kutokufanya kazi ni la TAA na si ATCL