KERO ATCL kuna tatizo gani? Mmetusubirisha ndege kwa saa tatu na nusu

KERO ATCL kuna tatizo gani? Mmetusubirisha ndege kwa saa tatu na nusu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Unabisha🤣
Basi hata stendi ya Nyamhongolo nayo tuiite Nyamhongolo International Bus Terminal 🤣.

IMG_5121.jpeg
 
Delays kwenye aviation ni jambo la
Kawaida. Labda kama una mfano wa kampuni isiyokuwa na delays, cancellation ya flights
Qatar Airways!😀 But you pay for good service; nauli zake sio za kitoto!!
 
Shirika la ATCL linapoelekea linapoteza muelekeo kabisa...sasa hivi tupo Mwanza international airport tunasuburi ndege tangu saa tano na nusu usiku, na mpaka sasa hivi wanatuambia kuwa tutaondoka saa tisa usiku.

Mnafeli wapi, mnasogeza muda kwa takriban masaa matatu na nusu?

Bado kwenye check up, machine hazifanyi kazi, tunakaguliwa kama wafungwa, ATCL mnatakiwa mjitafakari sana
Tuwe wazalendo
 
Pole sana mkuu wahusika watakua wamekusikia ila hilo la mashine kutokufanya kazi ni la TAA na si ATCL
TAA wameshindwa hata kutii maelekezo ya Rais kuboresha uwanja wa Mwanza,hujuma ya ki kaskazini iko siku! sembuse mashine za ukaguzi,kila kitu Mwanza airport ni shida
 
Back
Top Bottom