rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Acha wajisifu tu Mana hakuna route za ndege usawa huuUtaona ndege ikija watu wanajisifu kama vile wameletwa bure .......
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wajisifu tu Mana hakuna route za ndege usawa huuUtaona ndege ikija watu wanajisifu kama vile wameletwa bure .......
Hii nchi haina serikali ina genge la wahuni tuShirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kutumia ndege yake ya Boeing 787 Dreamliner inataraji kwenda nchini India kuwachukua watanzania 255 waliokuwa wagonjwa wakipatiwa matibabu nchini humo. Suala hili ukiliangalia juu juu unaweza kusema ni upendo wa Serikali ya Tanzania kwa wananchi wake kwa kuwachukua watanzania hao baada ya kunasa huko kwa sakata la LOCKDOWN la Ugonjwa wa CORONA ulioathiri Dunia Nzima.
Lakini laghasha, Watanzania hawa wanaoenda kuchukuliwa wameingia gharama kubwa saaaaaana za kulipia nauli ya ndege na kuwa mara 2 au 3 zaidi ya ile waliotumia awali kwenda India kutibiwa, kiasi ambacho wengi wao walioko huko wenye kipato kidogo kushindwa kulipia nauli hiyo ya kurudi nyumbani. Kama kweli Serikali inania ya dhati ya kuwasaidia wananchi wake kurudi nyumbani wafanye “COST SHARING” kwa hao wagonjwa ili kuwasaidia kurejea nyumbani. Ikumbukwe kwamba hao wagonjwa walikwenda India kutibiwa huko kwa gharama zao wenyewe na walishaingia gharama kubwa za kutibiwa wakiwa huko sasa sidhani kuwasaidia kurudi nyumbani napo waingie gharama nyingine kubwa zaidi.
Hili kwa maoni yangu naona sio kuwasaidia wananchi bali ATCL kuendelea kuingiza mapato licha ya Janga la CORONA kuendelea kuwepo. Hii inaitwa kufa kufaana kuwepo kwa janga la CORONA imekuwa ni manufaa kwa ATCL kuendelea kuingiza mapato na sio kuwasaidia wananchi wake. wakati huo ikumbukwe kuwa ndege hizi zimenunuliwa kwa Kodi za wananchi ambao ni watanzania wenyewe kati yao ndio hao walionasa huko India.
Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi alisema “Sisi ni wafanya biashara, ndege yetu gharama yake ni hizi kwahiyo tunahitaji utupe kiasi hiki, hata wakiwa watu wawili wakiwa na uwezo wa kuichukua ndege tunawapa” Kwa kusema hivi inaonesha kuwa ATCL wako kimaslahi zaidi na sio kuwasaidia watanzania.
ATCL na Serikali kwa ujumla kwa hili hata siwasifu eti mnawajali au kuwasaidia watanzania bali nawapongeza kwa kuendele kuwaumiza wananchi hali ya kuwa ndege hizo ni Kodi zao.
View attachment 1447667
Wewe mbona hujafa?Hakuondoi ukweli kuwa maelfu ya Watanzania wanaugua na kufa in silence kwa kuiogopa serikali ya meko
Maelfu!? Una uhakikaHakuondoi ukweli kuwa maelfu ya Watanzania wanaugua na kufa in silence kwa kuiogopa serikali ya meko
Nitolee ujinga mimi corona ipo wapi Ndugu zako wamekufa wangapi?
Na kwann unataka nchi zote zifananeMm naungama na ww mkuu. Kwanza hao watu wamelalamika sana mpaka ikabidi waseme kwa gharama yyte ile waende wachukuliwe watalipia. Uone mbele ya pesa....watu wanavyopenda pesa. Mataifa mengne wanachukua watu wao bila masharti yyte tena kwa gharama ya serikali. Lkn serikali ya wanyonge wanalipisha wanyonge mamilion ya shilingi kuwaleta nyumbani.
Kilichowazuia wasipande hizo za dola 350 Ni nini? Si wapandeHao watu wa India nimewaona kule facebook wakilalamika ,kinachowauma ni kwamba kwanini one way ni dollar 850,ikiwa wakati safari za anga zipo one way ilikuwa 350$
Hao watu wa India nimewaona kule facebook wakilalamika ,kinachowauma ni kwamba kwanini one way ni dollar 850,ikiwa wakati safari za anga zipo one way ilikuwa 350$
Mbona wewe hujafa?Hakuondoi ukweli kuwa maelfu ya Watanzania wanaugua na kufa in silence kwa kuiogopa serikali ya meko
Kwenye michango ya Covid-19 hawatokei hao ni wapiga zumari.NO. ATCL ili iwezepeleka ndege anatakiwa mtu wa kugharamia gharama za hiyo ndege; aidha Serikali, Watu binafsi au michango ya CORONA.
Sio swali hilo mimi nina majirani waliofariki na kuthibitishwaWewe mbona hujafa?
Nina uhakika
Sio swali hilo mimi nina majirani waliofariki na kuthibitishwa
Swali uliloniuliza jingine nikakujibu sasa unataka mabishano tuu yasiyo na tijaAti una majirani kwani nani hana majirani? Umenisikia nalialia kama wewe? Lazima watu wafe na wengine wazaliwe. ''Kabla hujafa hujaumbika.''
Huna hoja wewe kaa na upimbi wako.Swali uliloniuliza jingine nikakujibu sasa unataka mabishano tuu yasiyo na tija
SawaHuna hoja wewe kaa na upimbi wako.
Ujamaa umetuharibu kweli mpaka kila kitu tunataka tunafanyiwe bure, mbaya zaidi hata wananchi hawajui nani anapaswa kuombwa msaada na ndio maana wengi wanailaumu ATCL wakati ATCL inatakiwa irudishe gharama za safari na faida pia haijalishi wanaofuatwa wako kwenye matatizo ama la (issue hapa wananchi watambue nani anapaswa kuombwa msaada ambae kimsingi ni serikali na kama itaona inafaa serikali inailipa ATCL fedha za safari, kwahiyo iwe abiria walipe au wasafiri bure ATCL lazima vitabu vyake vya akaunti vionyeshe kuna amount flani imeingia kutokana na safari hiyoHuwa hamjui nini mnataka. Tulisema siasa iwekwe kando katika uendeshwaji wa hizi ndege sasa wewe na sinzahome mnataka nini zaidi kama si ugomvi usiyo na tija
hawa vijana wanapenda karantini kama bosi waoKama wagonjwa wameomba warudishwe nyumbani Tatizo liko wapi?
Km mtu amepona unataka aendelee kukaa wodini?
Siku hizi vituko vinaongezeka. Yaani kwa kuwa mtu ni mvivu na hawezi kulipia hata nauli ya daladala basi anadhani kuwa kuna wengine itakuwa hawawezi kumudu kulipia ndege. Uvivu kitu kibaya sana. Ndiyo sababu sipendi kuzungukwa na wavivu.Sasa wewe unalalamika vipi wakati wao ndiyo wameomba msaada wa ndege kwa gharama hiyo? Pia wao ndiyo waliamua kwenda huko wakati huduma zote za afya zinapatikana hapa TZ. Kumbuka pia wengine walipeleka watoto wao shule ila wakanasa huko. Hivyo huo ni msaada tosha kabisa la sivyo waendelee kukaa huko mpaka ndege sitakapoanza safari duniani kote. Wapo wamarekani wamekwama hapa TZ mpaka sasa hivi wakisubiri ndege zianze safari.