ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

Bei ya kiwandani

NB: Mpuuzeni Lukuvi kuwa kuna bei za madalali.....
 
Thaman ya ndege moja ikiwekezwa kwenye kilimo na miundombinu ya kilimo ina uwezo wa kuwatoa vijana nchi nzima kwenye tatzo la ajira

Hebu kila mkoa waandae mashamba makubwa yenye scheme za umwagiliaj..kila mkoa waone tija ya hzo bilions of shilings..ndege 1 tu
 
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko vizuri Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,

View attachment 2015069
Nimekubali hii
 
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko vizuri Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,

View attachment 2015069
Mama piga kazi,
 
Mleta mada uko sahihi kwa kuongelea indirect benefits liking hata direct benefit kwa serikali zipo sema tatizo CAG huwa anaripoti kuwa ATCL imepata hasara kienyeji mno bila kutumia utaalamu wake wa mahesabu vizuri.Anaripoti kitoto mno kuhusu ATCL sababu huwa anaripoti as if ATCL Ni private company.!!!

ATCL Ni shirika linalomilikiwa kwa asilimia 100 na serikali na kwangu Mimi ATCL huwa inapata faida na kutoa gawio kwa mumiliki ambaye Ni serikali .Utauliza inatoa gawio kivipi?

Jibu ni hivi moja kila tiketi unayokata Kuna Kodi kibao mle ambazo serikali hupewa chake .Kwa kila tiketi moja serikali hupewa gawio.Chukua tiketi yako ya ndege angalia mle breakdown serikali chake imeshagawiwa.Hupandi ndege ya ATCL mpaka utoe gawio

Pili kila manunuzi ATCL hufanya serikali hupewa VAT na ma import duties nk gawio la pili


Tatu Kuna income tax ambayo hulipwa kila mwisho wa mwaka unapofunga mahesabu gawio la tatu

Nne Kuna Kodi za PAYE za mishahara ya wafanyakazi serikali inagawiwa

Ili kujua Kama ATCL ilipata hasara waulize serikali hela za Kodi zote kwanza za kila walizopokea shilingi ngapi? Wakupe hesabu

Ukishapata Sasa nenda chukua hicho kinachosemekana ATCL ilipata hasara toa hiyo mipesa ya mikodi ambayo serikali ilipata ndio uje na jibu Kama Kuna faida au hasara kiasi gani

Nadhani serikali ilifanya makosa kuwachagua CAG . Anayefaa ni wewe ambaye ni Mtaalamu kutoka Lumumba.

Tutakupendekeza Mkuu
 
Mleta mada uko sahihi kwa kuongelea indirect benefits liking hata direct benefit kwa serikali zipo sema tatizo CAG huwa anaripoti kuwa ATCL imepata hasara kienyeji mno bila kutumia utaalamu wake wa mahesabu vizuri.Anaripoti kitoto mno kuhusu ATCL sababu huwa anaripoti as if ATCL Ni private company.!!!

ATCL Ni shirika linalomilikiwa kwa asilimia 100 na serikali na kwangu Mimi ATCL huwa inapata faida na kutoa gawio kwa mumiliki ambaye Ni serikali .Utauliza inatoa gawio kivipi?

Jibu ni hivi moja kila tiketi unayokata Kuna Kodi kibao mle ambazo serikali hupewa chake .Kwa kila tiketi moja serikali hupewa gawio.Chukua tiketi yako ya ndege angalia mle breakdown serikali chake imeshagawiwa.Hupandi ndege ya ATCL mpaka utoe gawio

Pili kila manunuzi ATCL hufanya serikali hupewa VAT na ma import duties nk gawio la pili


Tatu Kuna income tax ambayo hulipwa kila mwisho wa mwaka unapofunga mahesabu gawio la tatu

Nne Kuna Kodi za PAYE za mishahara ya wafanyakazi serikali inagawiwa

Ili kujua Kama ATCL ilipata hasara waulize serikali hela za Kodi zote kwanza za kila walizopokea shilingi ngapi? Wakupe hesabu

Ukishapata Sasa nenda chukua hicho kinachosemekana ATCL ilipata hasara toa hiyo mipesa ya mikodi ambayo serikali ilipata ndio uje na jibu Kama Kuna faida au hasara kiasi gani
Mkuu uko sahihi 100% ndio indirect benefits zenyewe hizi
 
CHADEMA lete prove kuwa hawa ni WATANZANIA,

Acheni uzushi wenu,

Siwajibii Chadema wala mimi si Chadema lakini hali ya nyumbani ndio

Matunda ya kazi za CCM haya


 
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko vizuri Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,

View attachment 2015069
Safi sana Mama yetu hakika kaziiendelee
 
mpaka sasa tupe takwimu pia atcl imeleta watalii wangapi?!? maana mi naona wanatua na midege yao pendwa tu
 
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa,

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL )

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaridi ku-Google bei za kila ndege hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko vizuri Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema,

View attachment 2015069
CAG ofisi hawana ubavu wa kuja na indirect benefits

wakiweza nitakunya humu

why? kwa sababu wanafanya kama akina Ruto, hawana ubunifu wala mawazo mapya
 
Mleta mada uko sahihi kwa kuongelea indirect benefits liking hata direct benefit kwa serikali zipo sema tatizo CAG huwa anaripoti kuwa ATCL imepata hasara kienyeji mno bila kutumia utaalamu wake wa mahesabu vizuri.Anaripoti kitoto mno kuhusu ATCL sababu huwa anaripoti as if ATCL Ni private company.!!!

ATCL Ni shirika linalomilikiwa kwa asilimia 100 na serikali na kwangu Mimi ATCL huwa inapata faida na kutoa gawio kwa mumiliki ambaye Ni serikali .Utauliza inatoa gawio kivipi?

Jibu ni hivi moja kila tiketi unayokata Kuna Kodi kibao mle ambazo serikali hupewa chake .Kwa kila tiketi moja serikali hupewa gawio.Chukua tiketi yako ya ndege angalia mle breakdown serikali chake imeshagawiwa.Hupandi ndege ya ATCL mpaka utoe gawio

Pili kila manunuzi ATCL hufanya serikali hupewa VAT na ma import duties nk gawio la pili


Tatu Kuna income tax ambayo hulipwa kila mwisho wa mwaka unapofunga mahesabu gawio la tatu

Nne Kuna Kodi za PAYE za mishahara ya wafanyakazi serikali inagawiwa

Ili kujua Kama ATCL ilipata hasara waulize serikali hela za Kodi zote kwanza za kila walizopokea shilingi ngapi? Wakupe hesabu

Ukishapata Sasa nenda chukua hicho kinachosemekana ATCL ilipata hasara toa hiyo mipesa ya mikodi ambayo serikali ilipata ndio uje na jibu Kama Kuna faida au hasara kiasi gani
Hawa ndiyo walienda shule kusomea Ujinga. Duuuuh!!

CAG anatoa ripoti za kitoto!!!!!!!! Aiseee!!
 
Back
Top Bottom