ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

Hizi mak x si ndio zina shida ya kukatika mikia? Hivi zile terrible teen ziliuzwa wapi kweli?
 
Hapa naandika kwenye kitabu changu cha ujasiriamali"some reasons why business fail"
 
WEWE UNA UMWA HUU UGONJWA MPYA WA INDIRECT BENEFIT
 
Hio indirect profit kwa wanasiasa kama nyie.
Mtalii gani kashindwa kuja tza eti hatuna ndege hadi afatwe na Atcl,pili Atcl inafika duniani pote? Hio hasara ni SAwa na kununua bombardier moja.
Si bora ingenunulia matrekta nchi nzima vijana wapasue mapori
 
Rais wa Tanzania haongozi masikini tu anaongoza pia matajiri tunaohitaji usafiri wa ndege.

Tupo sisi matajiri tunahitaji ndege kuwahi sehemu mbalimbali.
Daladala kwetu ni ndege
 
Yaani mnapenda hii mindege yenu kusifia tuu,, napo tunajua kwa nchi kama Tz ni hasara tu hakuna faida ni porojo tu,, kawadanganyeni watu ambao hawana uwezo wa kujitambua,, kama ambavyo mlikuwa mnatudanganya awamu ya tano,, eti tunaviwanda 4000,, kaeni hivyo hivyo siku mkitoka madarakani ndiyo mtajua upuuuzi wenu
 
Hatujakuelewa chief
Pole,muda ule nilikuwa nausoma Uzi huu nilikuwa natafakari niandikeje kwenye kitabu ninacho kimalizia kukiandika (niwasilisheje ili msomaji aelewe kwanini biashara zinakufa),mojawapo nipale mfanyabiashara anapo chukua bidhaa ama fedha kwa matumizi binafsi,nyingine ni mawasiliano duni kwa wateja,uongozi mbovu,lingine ambalo ni pana, ni mpango wa biashara ili kuweza kufanya biashara shindani lazima uwe na mpango wa biashara ( business plan) lingine ambalo kinanguvu zaidi ni siasa ( political factors) maamuzi ya wanasiasa ndiyo yanaua biashara awamu ya 5, hata kama ulikuwa una mtaji ama elimu ya ujasiriamali usingeliwrza kufanikiwa ,yapo mengi sana,80% ya mafanikio kwenye biashara yoyote ile yanamtegemea mjasiriamali, 20% iliyobaki ni mjasiriamali na yanayo mzunguka ,kwasasa yanayo mzunguka yana nguvu hata kuwezesaha biashara zife
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
 
Ni kweli national airlines ina indirect benefits nyingi na moja uliyoitaja ni utalii. Kwa upya na ubora wa ndege zetu tulitegemea ziwe zimeanza safari kwenye mataifa yanayoleta watalii Tanzania, hata mara mbili kwa wiki. Sasa ukiangalia sana safari zetu ni India- ambayo ni zaidi kwa mambo ya matibabu, na wahindi kwenda kwao. China inaenda ndege ya abiria lakini imebadilishwa inabeba mizigo. Sasa hao watalii wanaobebwa na ATCL wanatoka wapi??????
 
Uganda wameanza nyuma yetu wanaenda South Africa na Dubai. ATCL inatakiwa kuajiri mtu wa airline anayelijua soko na mwenye PR nzuri afungue biashara
 
Wewe Ndio dwanzi wa kiwango Cha 5G kabisa, hujui lolote kuhusu Aviation industry Wala Tourism! unapayuka tu kama kawaida ya Sukumagang wote na mtandao wa cheerleaders and Praise singers! Nyau we!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…