ATCL: Nauli ya Mwanza- Bukoba siyo haki

Mkuu umedanganya umepandaje ndege tarehe 14/10 na huku ATCL walitangaza kuanza safari rasmi tarehe 15/10...???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ninakuhakikishia tarehe 14/10 nilipanda flight TC102 ambayo iliondoka dar saa 1 jioni kwenda mwanza. Na ile nauli ya Tshs 160,000 ni bila kodi kwani ilibidi niongeze Tsh 39,000 hivyo kufanya nauli halisi kuwa Tshs. 199,000.
 
Mkuu umedanganya umepandaje ndege tarehe 14/10 na huku ATCL walitangaza kuanza safari rasmi tarehe 15/10...???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nadhani nimejibu na sina sababu ya kudanganya ndege toka dar-mwz TC102 nauli Tshs 199,000 iliruka tarehe 14/10 saa 1 jioni . Hebu jaribu kufanya utafiti kabla ya kumuita mtu muongo. kama unarafiki mwanza hebu muulize akwambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…