Tetesi: ATCL yashindwa kutua Comoro na kurudi Dar es Salaam kufuatia hali mbaya ya hewa

Tetesi: ATCL yashindwa kutua Comoro na kurudi Dar es Salaam kufuatia hali mbaya ya hewa

Marubani wanatofaitiana mwingine kabla kuruka na ndege anavuta bangi na kulipuliza barabara

Huyo hali ya hewa hata ichafuke vipi anashusha ndege uwanjani anaona poa tu.
 
Hiyo precision air ingeua sidhan Kama ungeleta uzi huu hapa

Sekta ya usafir wa anga n tofaut na ardhin mkuu

Kudos kwa ruban kujar usalama

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
kusema kwamba Precision Ilitua pamoja na Hali ya Hewa kuwa mbaya ina maana unasema kwamba Precision Air hawachukulii suala la usalama wa anga kwa uzito wake
Hoja imeungwa mkono
 
Bila shaka umeeleweka !. Pamoja na kongore, waambie Presicion Air watoe taarifa za mkutano mkuu wa wanahisa mwaka huu utafanyika lini na wapi.

Pamoja na sifa za kutua Comoro salama wakati hali ya hewa sio nzuri, ni kiashiria kuwa sasa wanafanya biashara kwa faida.... Waanze kulipa gawio kwa wanahisa sasa, waache janja janja na Serikali iwamulike.
 
Huyo rubani wa atcl muoga tu. Mimi comoro nimeshatua mara nyingi tu tena kwenye dhoruba kali na cassena single engine kale kandege kakumwagilia pesticides kwenye mashamba makubwa.
Mimi nampongeza captain wa ATCL,kwa kuhakikisha usalama wa ndege yetu .ujue hizo ndege za ATCL zimetufanya tuishi maisha magumu ndo zikanunuliwa,yaani macho ya watz wote yapo kodo([emoji44])kuona zinaendeleaje hizo ndege,waalimu na wafanyakazi ndo usiseme ,eti leo uwaambie ndege ya ATCL imeanguka weeeee,hakiyani watarusha matusi ambayo hujawahi kuyasikia . pongezi rubani wa ATCL
 
Huyo rubani wa ATCL anastahili pongezi nyingi sana kwa kujali usalama wa abiria wake.
 
Pongezi kwa marubani wa atcl kwa kuwa makini Katika usalama wa abiria na kutojali hasara
 
Mkuu katika kanuni za Urubani na Usalama wa anga maruani wote wako sahihi. Aina ya ndege unazozungumzia ni tofauti na zinaendesha na watu tofauti. Bottom line ni kwamba ingetokea tatizo kwa Ndege ya Precision si ajabu ingeoneka na Negligence kwa sababu mwenzake aliacha kutua kwa sababu ya hali ya HEWA.

Kumbuka katika usafiri wa Anga USALAMA Ndio kitu cha kwanza na kitendo cha wewe kusema kwamba Precision Ilitua pamoja na Hali ya Hewa kuwa mbaya ina maana unasema kwamba Precision Air hawachukulii suala la usalama wa anga kwa uzito wake.

Nimemaliza. Ila Hongera kwake Captain Salim kwa kuweza kuhakikisha abiria wanakuwa salama ila next time msijivunie RISK za kijinga kama hizi.
Naunga hoja mkono
 
Habari wana Jamvi,

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa.

Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea Visiwani Comoros.

Pia Precision Air walikua wana Charter Flight (Ndege imekodishwa)siku hiyo kutoka Dar kwenda visiwani humo.
Umbali wa kutoka dar mpaka comoro ni km 683 sawa na 424.

Precision Air wakitumia ndege yao yenye usajili wa 5H-PWG ambayo ni aina ya ATR 72 yenye uwezo wa kubeba Abiria 70 kwa mpigo na mizigo tani 2.5 waliruka kuelekea Visiwani humo.

Kwa habari toka ndani ya vyanzo vya mamlaka ya ndege vinasema Ndege ya Air Tanzania ilifika kwenye Anga la Comoro na kushindwa kutua kwa kile Captain alichokiita hali mbaya ya hewa na kulazika kurudi tena Dar es salaam.

Watoa habari wanasema hii ni mara ya tatu kwa Rubani wa Air Tanzania kurudisha ndege Dar kutoka comoro hata kwa kitu ambacho kinaweza kuvumilika.

Huku nyuma Captain wa Precision Air aliyejulikana kwa jina moja la Captain Salim aliweza kutua Katika uwanja wa ndege wa Comoro salama kabisa mbali na hali ya hewa kuwa sio nzuri.

Bravo sana kwa Captain huyu wa Precision air hii inaonesha kuwa shirika la ndege la Precision lina marubani wenye uzoefu mkubwa kwenye tasnia hii ya anga pia shirika lina uzoefu mkubwa kwenye usafirishaji wa watu na mizigo yao.

Precision air wamekua kwenye hii biashara toka mwak 1995 na uzoefu huu umewasaidia kuwa extraordinary mbali ya shirika letu la Tanzania lenye ndege za kisasa.

Hongereni sana Precision Air.
Tunamshukuru Mungu kwani kuna mtu alitaka kuiua Precision Air lakini akaenda yeye.
 
Habari wana Jamvi,

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa.

Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea Visiwani Comoros.

Pia Precision Air walikua wana Charter Flight (Ndege imekodishwa)siku hiyo kutoka Dar kwenda visiwani humo.
Umbali wa kutoka dar mpaka comoro ni km 683 sawa na 424.

Precision Air wakitumia ndege yao yenye usajili wa 5H-PWG ambayo ni aina ya ATR 72 yenye uwezo wa kubeba Abiria 70 kwa mpigo na mizigo tani 2.5 waliruka kuelekea Visiwani humo.

Kwa habari toka ndani ya vyanzo vya mamlaka ya ndege vinasema Ndege ya Air Tanzania ilifika kwenye Anga la Comoro na kushindwa kutua kwa kile Captain alichokiita hali mbaya ya hewa na kulazika kurudi tena Dar es salaam.

Watoa habari wanasema hii ni mara ya tatu kwa Rubani wa Air Tanzania kurudisha ndege Dar kutoka comoro hata kwa kitu ambacho kinaweza kuvumilika.

Huku nyuma Captain wa Precision Air aliyejulikana kwa jina moja la Captain Salim aliweza kutua Katika uwanja wa ndege wa Comoro salama kabisa mbali na hali ya hewa kuwa sio nzuri.

Bravo sana kwa Captain huyu wa Precision air hii inaonesha kuwa shirika la ndege la Precision lina marubani wenye uzoefu mkubwa kwenye tasnia hii ya anga pia shirika lina uzoefu mkubwa kwenye usafirishaji wa watu na mizigo yao.

Precision air wamekua kwenye hii biashara toka mwak 1995 na uzoefu huu umewasaidia kuwa extraordinary mbali ya shirika letu la Tanzania lenye ndege za kisasa.

Hongereni sana Precision Air.
Kwanini hakutua Mtwara?
 
P
Habari wana Jamvi,

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa.

Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea Visiwani Comoros.

Pia Precision Air walikua wana Charter Flight (Ndege imekodishwa)siku hiyo kutoka Dar kwenda visiwani humo.
Umbali wa kutoka dar mpaka comoro ni km 683 sawa na 424.

Precision Air wakitumia ndege yao yenye usajili wa 5H-PWG ambayo ni aina ya ATR 72 yenye uwezo wa kubeba Abiria 70 kwa mpigo na mizigo tani 2.5 waliruka kuelekea Visiwani humo.

Kwa habari toka ndani ya vyanzo vya mamlaka ya ndege vinasema Ndege ya Air Tanzania ilifika kwenye Anga la Comoro na kushindwa kutua kwa kile Captain alichokiita hali mbaya ya hewa na kulazika kurudi tena Dar es salaam.

Watoa habari wanasema hii ni mara ya tatu kwa Rubani wa Air Tanzania kurudisha ndege Dar kutoka comoro hata kwa kitu ambacho kinaweza kuvumilika.

Huku nyuma Captain wa Precision Air aliyejulikana kwa jina moja la Captain Salim aliweza kutua Katika uwanja wa ndege wa Comoro salama kabisa mbali na hali ya hewa kuwa sio nzuri.

Bravo sana kwa Captain huyu wa Precision air hii inaonesha kuwa shirika la ndege la Precision lina marubani wenye uzoefu mkubwa kwenye tasnia hii ya anga pia shirika lina uzoefu mkubwa kwenye usafirishaji wa watu na mizigo yao.

Precision air wamekua kwenye hii biashara toka mwak 1995 na uzoefu huu umewasaidia kuwa extraordinary mbali ya shirika letu la Tanzania lenye ndege za kisasa.

Hongereni sana Precision Air.
Precision wazoefu. Hata Mwanza wanashushaga ndege hata kama Kuna radi wakati Kipindi kule Fastjet au ATC wanaenda kutua Rubondo island. Chezea Mchaga weye!
 
Huyo rubani wa atcl muoga tu. Mimi comoro nimeshatua mara nyingi tu tena kwenye dhoruba kali na cassena single engine kale kandege kakumwagilia pesticides kwenye mashamba makubwa.
wewe nae Bana acha mibange ya kuvutia chooni hiyo jua kuwa kuna tofauti ya ndege bati lenye injini! na ndege ungo!! wa kichawi huo mpaka utunguliwe na wachawi wenzako!! sasa hapo kati hakuna wachawi unapita tu!
 
wewe nae Bana acha mibange ya kuvutia chooni hiyo jua kuwa kuna tofauti ya ndege bati lenye injini! na ndege ungo!! wa kichawi huo mpaka utunguliwe na wachawi wenzako!! sasa hapo kati hakuna wachawi unapita tu!
Hahaha
 
Habari wana Jamvi,

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa.

Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea Visiwani Comoros.

Pia Precision Air walikua wana Charter Flight (Ndege imekodishwa)siku hiyo kutoka Dar kwenda visiwani humo.
Umbali wa kutoka dar mpaka comoro ni km 683 sawa na 424.

Precision Air wakitumia ndege yao yenye usajili wa 5H-PWG ambayo ni aina ya ATR 72 yenye uwezo wa kubeba Abiria 70 kwa mpigo na mizigo tani 2.5 waliruka kuelekea Visiwani humo.

Kwa habari toka ndani ya vyanzo vya mamlaka ya ndege vinasema Ndege ya Air Tanzania ilifika kwenye Anga la Comoro na kushindwa kutua kwa kile Captain alichokiita hali mbaya ya hewa na kulazika kurudi tena Dar es salaam.

Watoa habari wanasema hii ni mara ya tatu kwa Rubani wa Air Tanzania kurudisha ndege Dar kutoka comoro hata kwa kitu ambacho kinaweza kuvumilika.

Huku nyuma Captain wa Precision Air aliyejulikana kwa jina moja la Captain Salim aliweza kutua Katika uwanja wa ndege wa Comoro salama kabisa mbali na hali ya hewa kuwa sio nzuri.

Bravo sana kwa Captain huyu wa Precision air hii inaonesha kuwa shirika la ndege la Precision lina marubani wenye uzoefu mkubwa kwenye tasnia hii ya anga pia shirika lina uzoefu mkubwa kwenye usafirishaji wa watu na mizigo yao.

Precision air wamekua kwenye hii biashara toka mwak 1995 na uzoefu huu umewasaidia kuwa extraordinary mbali ya shirika letu la Tanzania lenye ndege za kisasa.

Hongereni sana Precision Air.
Rubani wa CCM kila kitu mchongo 😁

Shirika linajiendesha kwahasara mafuta nenda Rudi..na bado watu hao wanatakiwa wafike comoro otherwise rudisha pesa na fidia
 
Mkuu katika kanuni za Urubani na Usalama wa anga maruani wote wako sahihi. Aina ya ndege unazozungumzia ni tofauti na zinaendesha na watu tofauti. Bottom line ni kwamba ingetokea tatizo kwa Ndege ya Precision si ajabu ingeoneka na Negligence kwa sababu mwenzake aliacha kutua kwa sababu ya hali ya HEWA.

Kumbuka katika usafiri wa Anga USALAMA Ndio kitu cha kwanza na kitendo cha wewe kusema kwamba Precision Ilitua pamoja na Hali ya Hewa kuwa mbaya ina maana unasema kwamba Precision Air hawachukulii suala la usalama wa anga kwa uzito wake.

Nimemaliza. Ila Hongera kwake Captain Salim kwa kuweza kuhakikisha abiria wanakuwa salama ila next time msijivunie RISK za kijinga kama hizi.
Hivi mmewahi ona Airbus A380 inatua ki upande Kama imekata center bolt kimbunga Cha hatari afu huyo kunguru anaogopa
 
Back
Top Bottom