ATCL yatolea ufafanuzi kuhusu simtofahamu ya msanii Diamond Platnumz

ATCL yatolea ufafanuzi kuhusu simtofahamu ya msanii Diamond Platnumz

Wolper apiga mwereka baada ya kupanda juu ya meza ili kucheza Kwangaru kwa style ya kusasambua huko Mwanza. Hata hivyo hakuumia.
Kuna jukwaa la sports, walioliweka sio kwamba hawakuwa na akli timamu...unatia waswas uwezo wako wa akli kwa kuleta taarifa sahihi kwnye jukwaa lisilo sahihi na thread isiyo sahihi.....
 
Shosti kwani nimekuquote wewe,kama unakereka jisuku nyoooooo
Na wewe unakera na mpira kwenye thread za watu. Fungua thread yako special ndo uweke haya mambo maana kama ni issue za mpira trust me watu hapa tupo vizuri na latest news, huhitaji kutukumbushia.
 
Anamchukua mtu video bila ruhusa yake Ilee ni kesi ya kujibuu...!! Na kuna viongozi wanakaa wanafurahia ule upuuzi kisa tu ni diamond kafanyaa...non sense kabisa Diamond kaikalia Basata...Kaona haitoshi anataka kuikalia Tz kabisa...

Ule ni uozo, lazima ufumuliwe ukiukalia na kuuficha unatunza jibu. Pale kulikuwa na tatizo ushahidi ulihitajika.

Fatilia kipindi cha "wewe pia!" Madereva wavunja sheria humulikwa kwa kamera

Ule ya matrafic wala rushwa.

Hii issue itarekebisha mambo mengi kwenye nyanja ya usafiri wa ndege nchini na kuboresha huduma kwa wateja.
 
Hapa ilikuwa inatafutwa kiki tuView attachment 970753
Screenshot_20181217-215347.jpeg
 
Kama alichelewa kuna haja gani ya kutoa ufafanuzi? Kwa hiyo wanatoa ufafanuzi kwa kila aliyechelewa? Yaani rasilimsli na muda vinatumika kwa taarifa kama hizi? Hii nchi kuendelea, labda Mungu ashuke!
 
Mhmhmh haya maneno yako ndani ya akili yangu...
Anamchukua mtu video bila ruhusa yake Ilee ni kesi ya kujibuu...!! Na kuna viongozi wanakaa wanafurahia ule upuuzi kisa tu ni diamond kafanyaa...non sense kabisa Diamond kaikalia Basata...Kaona haitoshi anataka kuikalia Tz kabisa...
 
Huyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!

Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!

Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!

Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
Dodoki lako lina matundu mengi hauwezi kutumika tena.... Tulia
 
Hii ishu sio ya ATCL. Ni ya Airport ya Mwanza. Niliwahi kufika pale dk 40 kabla ndege kuondoka, ikabidi nitoe rushwa ya elfu 10 ili niruhusiwe kuingia. Hii ilikuwa mwaka 2014.
Huu ni mchezo wa muda mrefu.
Mamlaka ya viwanja vya ndege inabidi imuondoe bosi wa uwanja wa Mwanza, atupwe airport ya Singida huko kwa kushindwa kudhibiti uozo huu.
Narudia tena. Wenye makosa wanaweza wasiwe ATCL bali mamlaka ya uwanja wa Mza.
Maneno ya Diamond mwenyewe
"
  • Naomba nisisitize kuwa Siku ya jana tareh 16 | 12 Mimi Nasibu Abdul Juma Issaack, na nilokuwa Nasafiri nao Tokea Mwanza Sikuchelewa ndege Kabisa..Nilifika Muda Sawia kama Usafiri wa ndege za ndani unavyotaka, na kulidhihirisha hilo.. nikiwa niko pale kuna hata Abiria wengine waliingia nusu saa baadae, tena nikiwepo nimesimama palepale... na mmoja ya watu waloingia nikiwepo nimesimama ni @Harmonize_tz ... kilichotokea ni kuwa Mmoja ya watu wenye dhamana pale, siti zetu aliziuza kwa abilia wa fastjet...kwa Abiria watalii wazungu, na Walichokuwa hawajajua pia waliwauzia na baadhi ya Watu ambao ni wafanyakazi wetu wa Wasafi Media...Na Kuthibitisha tena kuwa hatukuchelewa, alikuja tena Mtu wa Air Tanzania na Kutuambia kuwa Siti zimebaki Mbili...Hivyo Tuchague watu wawili tu wasafiri.... kama kweli tulichelewa, sasa Hao wawili, sasa wangewezaje ingia??? tukasema hatuwezi safiri wawili lazima tuwe wote kama tulivyokata... hivyo ni dhahiri kuwa hatukuchelewa....ila kutokana na Ndege nyingi za kuja mwanza zilicancel Trip zao, ikiwepo Fastjet hivyo Tickets zikawa ni Dili sana na ndio yote kutokea....
    USHAURI tu kwa Ndugu zetu walopewa dhamana ya Kuliendesha shirika letu la Air Tanzania....tutambue kuwa Mh Rais, Pamoja na Serikali nzima kwa Ujumla imepambana Usiku na Mchana, imeamua kujinyima na kujitoa kwa hali na mali ili kuhakikisha Watanzania nasi tunakuwa na Ndege zetu, kwa kuamini kuwa Licha tu ya kuingiza kipato, lakini Uwepo wa Air Tanzania ni Heshima na fahari kwenye nchi Yetu....Hivyo tunaomba Mzisimamie Vizuri....na nikiwa kama Mtanzania Mzalendo Mwenye akili Timamu, siwezi tu kukurupuka kusema jambo kwani ni jukumu langu kuhakikisha nalilinda shirika

    hili, nalitangaza na kuwasifia wanapopatia lakini pia ni jukumu langu kuwaambia Mnapokosea ili mfanye marekebisho na AirTanzania kuwa shirika bora Duniani na kuipa sifa Nchi yetu... hivyo nikiwa kama Mtanzania mwenye uchungu siwezi kuona mtu alopewa dhamana ya Kuzisimamia ndege hizo anafanya vitu tofauti halaf eti nikakaa kimya...Ni sawa na Kumvunja moyo Mh Raisi na Serikali nzima kwa juhudi zake hizi... hivyo Mlopewa Dhamana tunaomba Muwe Makini, na kusimamia vyema ili tusitie doa kwenye ndege zetu.."
    .

    Nasubiria kauli ya AirTanzania .




Jplññ,.m
 
Huyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!

Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!

Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!

Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
Unaongea usichokijua
 
Hii ishu sio ya ATCL. Ni ya Airport ya Mwanza. Niliwahi kufika pale dk 40 kabla ndege kuondoka, ikabidi nitoe rushwa ya elfu 10 ili niruhusiwe kuingia. Hii ilikuwa mwaka 2014.
Huu ni mchezo wa muda mrefu.
Mamlaka ya viwanja vya ndege inabidi imuondoe bosi wa uwanja wa Mwanza, atupwe airport ya Singida huko kwa kushindwa kudhibiti uozo huu.
Narudia tena. Wenye makosa wanaweza wasiwe ATCL bali mamlaka ya uwanja wa Mza.
Kaunta inafungwa saa 20h00 Mondi kafika dk 15 baada ya check in kaunta kufungwa hoja yako nini zaidi ya kumwambia dogo asifikiri usafiri wa anga kama daladala ukiliona limesimama unaingia tu!
 
Huyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!

Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!

Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!

Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
This is tanzania , this is tanzania
 
vile vijamaa vya airport Mwanza vina njaa hatari.
Bado mnaamini kwa hii issue ATCL Mwanza wana matatizo?kama ufafanuzi ni sahihi Bwana Nasibu na wenzake ndio wenye makosa kwamba hawakusoma mashart na vigezo ya mkataba wao wa safari(ticket)
 
Asingelalamika Diamond Platinumz wasingetolea Ufafanuzi...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poor tanzania...
Na wametoa ufafanuzi kwa kuwa wanajua kimsingi Diamond ndio kachemka .
Check in mwisho saa 20h00 wewe unakuja 20h15 kwa kuwa tu unajua ndege inaondoka 20h45?
Na baadhi ya watu wa viwanja vya ndege wanadai kijana mara nyingi huwa anaenjoy kuwa wa mwisho anaposafiri locally ,wacha afunzwe ustaarab wa safar
 
Mmenunua ndege miundo mbinu mnayo? , Mwanza, mwanza, ile baggage escalator ya mwanza inabeba sanduku 35 tuu, wewe unabeba watu 240 kila mtu ana vifurushi viwili ni pathetic ukiona watu wanavyogombania mizigo kutoa,acha hiyo, boarding room haitoshi kukaa watu 80, lakini wanajazwa watu 300 kama ngombe , full kujambiana, basi ukute kuna ndege mbili, watu wanasimama chooni, this is pathetic pathetic, tusifichame kwenye small incidence ya diamond, hatuwezi
 
Swali kwa ATCL,kama Diamond aliachwa kwa kuchelewa ndege,kwa nini ndege iliondoka ikiwa imejaa viti vyote?
Kama ni no show passenger,lazima kiti kiende tupu,wao waliuza tu viti wakubali huu ndio mtindo ulioua hili shirika hapo nyuma
 
Back
Top Bottom