Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Wolper apiga mwereka baada ya kupanda juu ya meza ili kucheza Kwangaru kwa style ya kusasambua huko Mwanza. Hata hivyo hakuumia.
Kuna jukwaa la sports, walioliweka sio kwamba hawakuwa na akli timamu...unatia waswas uwezo wako wa akli kwa kuleta taarifa sahihi kwnye jukwaa lisilo sahihi na thread isiyo sahihi.....