Kuna jukwaa la sports, walioliweka sio kwamba hawakuwa na akli timamu...unatia waswas uwezo wako wa akli kwa kuleta taarifa sahihi kwnye jukwaa lisilo sahihi na thread isiyo sahihi.....
Na wewe unakera na mpira kwenye thread za watu. Fungua thread yako special ndo uweke haya mambo maana kama ni issue za mpira trust me watu hapa tupo vizuri na latest news, huhitaji kutukumbushia.
Anamchukua mtu video bila ruhusa yake Ilee ni kesi ya kujibuu...!! Na kuna viongozi wanakaa wanafurahia ule upuuzi kisa tu ni diamond kafanyaa...non sense kabisa Diamond kaikalia Basata...Kaona haitoshi anataka kuikalia Tz kabisa...
Pesa huleta Pesa....vijana tafuteni pesa..acheni utaniHapa ilikuwa inatafutwa kiki tuView attachment 970753View attachment 970752
Wanyiramba wakali sana aisee!hawataki mchezo mchezo japokuwa ndugu zao wanyaturu wanawaangusha[emoji23] [emoji23]Hapo kwenye red,Kwani huko Singida ndipo wanapohitajika watu walioshindwa kudhibiti uozo sehemu zingine?!
Mkewe huyu anaitwa nani? Sikujua na yeye anaitwa Isack?Hapa ilikuwa inatafutwa kiki tuView attachment 970753View attachment 970752
Anamchukua mtu video bila ruhusa yake Ilee ni kesi ya kujibuu...!! Na kuna viongozi wanakaa wanafurahia ule upuuzi kisa tu ni diamond kafanyaa...non sense kabisa Diamond kaikalia Basata...Kaona haitoshi anataka kuikalia Tz kabisa...
Dodoki lako lina matundu mengi hauwezi kutumika tena.... TuliaHuyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!
Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!
Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!
Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
Hii ishu sio ya ATCL. Ni ya Airport ya Mwanza. Niliwahi kufika pale dk 40 kabla ndege kuondoka, ikabidi nitoe rushwa ya elfu 10 ili niruhusiwe kuingia. Hii ilikuwa mwaka 2014.
Huu ni mchezo wa muda mrefu.
Mamlaka ya viwanja vya ndege inabidi imuondoe bosi wa uwanja wa Mwanza, atupwe airport ya Singida huko kwa kushindwa kudhibiti uozo huu.
Narudia tena. Wenye makosa wanaweza wasiwe ATCL bali mamlaka ya uwanja wa Mza.
Jplññ,.mManeno ya Diamond mwenyewe
"
- Naomba nisisitize kuwa Siku ya jana tareh 16 | 12 Mimi Nasibu Abdul Juma Issaack, na nilokuwa Nasafiri nao Tokea Mwanza Sikuchelewa ndege Kabisa..Nilifika Muda Sawia kama Usafiri wa ndege za ndani unavyotaka, na kulidhihirisha hilo.. nikiwa niko pale kuna hata Abiria wengine waliingia nusu saa baadae, tena nikiwepo nimesimama palepale... na mmoja ya watu waloingia nikiwepo nimesimama ni @Harmonize_tz ... kilichotokea ni kuwa Mmoja ya watu wenye dhamana pale, siti zetu aliziuza kwa abilia wa fastjet...kwa Abiria watalii wazungu, na Walichokuwa hawajajua pia waliwauzia na baadhi ya Watu ambao ni wafanyakazi wetu wa Wasafi Media...Na Kuthibitisha tena kuwa hatukuchelewa, alikuja tena Mtu wa Air Tanzania na Kutuambia kuwa Siti zimebaki Mbili...Hivyo Tuchague watu wawili tu wasafiri.... kama kweli tulichelewa, sasa Hao wawili, sasa wangewezaje ingia??? tukasema hatuwezi safiri wawili lazima tuwe wote kama tulivyokata... hivyo ni dhahiri kuwa hatukuchelewa....ila kutokana na Ndege nyingi za kuja mwanza zilicancel Trip zao, ikiwepo Fastjet hivyo Tickets zikawa ni Dili sana na ndio yote kutokea....
USHAURI tu kwa Ndugu zetu walopewa dhamana ya Kuliendesha shirika letu la Air Tanzania....tutambue kuwa Mh Rais, Pamoja na Serikali nzima kwa Ujumla imepambana Usiku na Mchana, imeamua kujinyima na kujitoa kwa hali na mali ili kuhakikisha Watanzania nasi tunakuwa na Ndege zetu, kwa kuamini kuwa Licha tu ya kuingiza kipato, lakini Uwepo wa Air Tanzania ni Heshima na fahari kwenye nchi Yetu....Hivyo tunaomba Mzisimamie Vizuri....na nikiwa kama Mtanzania Mzalendo Mwenye akili Timamu, siwezi tu kukurupuka kusema jambo kwani ni jukumu langu kuhakikisha nalilinda shirika
hili, nalitangaza na kuwasifia wanapopatia lakini pia ni jukumu langu kuwaambia Mnapokosea ili mfanye marekebisho na AirTanzania kuwa shirika bora Duniani na kuipa sifa Nchi yetu... hivyo nikiwa kama Mtanzania mwenye uchungu siwezi kuona mtu alopewa dhamana ya Kuzisimamia ndege hizo anafanya vitu tofauti halaf eti nikakaa kimya...Ni sawa na Kumvunja moyo Mh Raisi na Serikali nzima kwa juhudi zake hizi... hivyo Mlopewa Dhamana tunaomba Muwe Makini, na kusimamia vyema ili tusitie doa kwenye ndege zetu.."
.
Nasubiria kauli ya AirTanzania .
Unaongea usichokijuaHuyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!
Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!
Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!
Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
Kaunta inafungwa saa 20h00 Mondi kafika dk 15 baada ya check in kaunta kufungwa hoja yako nini zaidi ya kumwambia dogo asifikiri usafiri wa anga kama daladala ukiliona limesimama unaingia tu!Hii ishu sio ya ATCL. Ni ya Airport ya Mwanza. Niliwahi kufika pale dk 40 kabla ndege kuondoka, ikabidi nitoe rushwa ya elfu 10 ili niruhusiwe kuingia. Hii ilikuwa mwaka 2014.
Huu ni mchezo wa muda mrefu.
Mamlaka ya viwanja vya ndege inabidi imuondoe bosi wa uwanja wa Mwanza, atupwe airport ya Singida huko kwa kushindwa kudhibiti uozo huu.
Narudia tena. Wenye makosa wanaweza wasiwe ATCL bali mamlaka ya uwanja wa Mza.
This is tanzania , this is tanzaniaHuyo dogo anatoa wapi uthubutu wa kulichafua shirika letu la ndege kwa uzembe wake mwenyewe wa kuchelewa mda?!
Kuna nani nyuma yake hadi anakuwa na UTHUBUTU WA KIWANGO KILE KULITUHUMU /KULICHAFUA SHIRIKA ILHALI POPOTE DUNIANI MTU ANAYE CHELEWA NDEGE huwa haimusubiri?!
Huyo dogo/jipu lileeni tu.Ipo siku kwa PAPARA zale na MAJIVUNO yake atakuja kuichafua zaidi nchi kwa matamanio ya KIJINGA!
Kwa kitendo kile SHIRIKA LA NDEGE WAMPELEKE MAHAKAMANI HARAKA KWA KULICHAFUA SHIRIKA KWA UZEMBE WAKE!
Bado mnaamini kwa hii issue ATCL Mwanza wana matatizo?kama ufafanuzi ni sahihi Bwana Nasibu na wenzake ndio wenye makosa kwamba hawakusoma mashart na vigezo ya mkataba wao wa safari(ticket)vile vijamaa vya airport Mwanza vina njaa hatari.
Na wametoa ufafanuzi kwa kuwa wanajua kimsingi Diamond ndio kachemka .Asingelalamika Diamond Platinumz wasingetolea Ufafanuzi...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poor tanzania...