ATCL yatolea ufafanuzi kuhusu simtofahamu ya msanii Diamond Platnumz

Nadhani mamlaka zilikuwa sahihi kumzuia Diamond baada ya kufika airport kwa kuchelewa
 
Atcl jirekebisheni hiyo taarifa yenu ni sawa na mtu akijamba watu wazima wenzake hatusemi kajamba bali tunasema mtu mzima kapumua. Sasa na nyie kwa kweli mmepumua ila ndo mshafanya iwe kwa hila ama bahati mbaya, msiharibu kazi nzuri inayofanywa na serikali hii kwa upuuzi tu.
 
Kaunta inafungwa saa 20h00 Mondi kafika dk 15 baada ya check in kaunta kufungwa hoja yako nini zaidi ya kumwambia dogo asifikiri usafiri wa anga kama daladala ukiliona limesimama unaingia tu!
Je ndege ilikuwa imeshaondoka?
Hiyo kaunta huwa inafungwa haraka haraka hasa nyakati za jioni na kuingia mpaka utoe kiingilio. Hapo getini pameshageuzwa kuwa pango la wanyang'anyi. Inabidi wasafishwe wooote! Tuanze upya.
 
Ndugu mbona kama umejawa na jazba,una uhakika hauna chuki na jamaa?
 
Maelezo yanajieleza, kawekwa pending wengine wamepewa ticket na wakaingia ndani, so sio kwamba kachelewa, bali kapigwa chini watalii wakasafiri...sio fair
 
Hayo mengine sizungumzii but hili la kufika wa mwisho nimewahi kumshuhudia JKNIA. Abiria wa Emirates wote walisha check in, bado dakika chache wafunge counter ndio katokea na team yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…