Athari ya kuingiza Machawa kwenye timu yetu ya taifa

Athari ya kuingiza Machawa kwenye timu yetu ya taifa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Bado Tanzania kama nchi imeshindwa kuheshimu Professionalism katika soka. AFCON ni sio sehemu ya siasa wala vituko. Hapo ni sehemu ambayo Wataalamu wanatakiwa kupewa nafasi kutoa mafunzo yao na kufanya Wachezaji wawe focused muda wote. Tazama namna watu kama Mwijaku na Babalevo wanavyopewa nafasi kubwa mpaka ya kukutana na Wachezaji kama hivyo.

Nchi zote zingeruhusu wachekeshaji wao kukutana na wachezaji kama hivi pengine ingekuwa fujo sana huko Ivory Coast
 
Bado Tanzania kama nchi imeshindwa kuheshimu Professionalism katika soka. AFCON ni sio sehemu ya siasa wala vituko. Hapo ni sehemu ambayo Wataalamu wanatakiwa kupewa nafasi kutoa mafunzo yao na kufanya Wachezaji wawe focused muda wote. Tazama namna watu kama Mwijaku na Babalevo wanavyopewa nafasi kubwa mpaka ya kukutana na Wachezaji kama hivyo.

Nchi zote zingeruhusu wachekeshaji wao kukutana na wachezaji kama hivi pengine ingekuwa fujo sana huko Ivory Coast
Yaani ndiyo maana tumefungwa...Yaani unapeleka comedian kwenye suala zito kama hili???!!!!Dah!!!!
 
Bado Tanzania kama nchi imeshindwa kuheshimu Professionalism katika soka. AFCON ni sio sehemu ya siasa wala vituko. Hapo ni sehemu ambayo Wataalamu wanatakiwa kupewa nafasi kutoa mafunzo yao na kufanya Wachezaji wawe focused muda wote. Tazama namna watu kama Mwijaku na Babalevo wanavyopewa nafasi kubwa mpaka ya kukutana na Wachezaji kama hivyo.

Nchi zote zingeruhusu wachekeshaji wao kukutana na wachezaji kama hivi pengine ingekuwa fujo sana huko Ivory Coast
Watu wanatengeneza football academy kwenye nchi zao kwa ajili ya kukuza vipaji vya watoto ili wakiwa wakubwa wacheze national team kwa mafanikio ukija TZ wanasiasa wameamua kuwekeza kwa Mwijaku, Babalevo, Joti na Mpoki ili waisaidie timu ya Taifa ilete kombe la AFCON nyumbani. Shame on you guys!
 
Dah ila watanzania hatupo serious kabisa, yaani sisi kila kila kitu ni mzaha na comedy tu. Ndio nini hiki sasa! Ina maana viongozi wetu wanaona hii ndio Hamasa kwa timu ya taifa! Aisee inauma sana tunapokosa weledi kwenye mambo ya msingi. Ngoja nikae kimya labda viongozi wetu watajifunza wakati mwingine.
 
Yaani ndiyo maana tumefungwa...Yaani unapeleka comedian kwenye suala zito kama hili???!!!!Dah!!!!
Tz nchi ya ajabu sana
Yaani wameshindwa kuwapeleka
Mashabiki wale wa ukweli yaani wenyewe, wale wazee wa vigomaa
Wanawapeleka wakina mwijaku babalevel joti
Mamaeeee Acha wapigwe tu

Ova
 
Watu wanatengeneza football academy kwenye nchi zao kwa ajili ya kukuza vipaji vya watoto ili wakiwa wakubwa wacheze national team kwa mafanikio ukija TZ wanasiasa wameamua kuwekeza kwa Mwijaku, Babalevo, Joti na Mpoki ili waisaidie timu ya Taifa ilete kombe la AFCON nyumbani. Shame on you guys!
Nchi ya k--- sana hii mambo wanayofanya

Ova
 
Back
Top Bottom