Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.

Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.

Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.

Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.

Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.

Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
 
Lia tu mkuu machungu hayawez kuisha kwa haraka
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli.
TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake .
Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu
 
Nimecheka sana asubuhi hii. Ukiangalia mahojiano ya mashabiki wa Simba huko mitandoni kwenye hizi online TV, inachekesha.
Huwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
 
Huwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
Kwamba nyie hamjawahi kulaumu !!!!! jina utopolo limetokea wap?
 
Kwamba nyie haujawahi kulaumu !!!!! jina utopolo limetokea wap?
Tushasahau hizo zama kwa miaka hii mfululizo kwetu sherehe kila siku.
Nyie kila msimu mnaanza kwa kusema msimu huu tuko vzuri... Mkishabamizwa na yanga basi yale mazuri yote mliyosema yanakuwa hakuna.
Mtalaumu sana. Sasa mchague moja, usajili mbovu au yanga inabebwa au wachezaji wamehongwa? Maana mnakuwa mara mnalaumu timu yenu mara refa mara kocha so ukweli ni upi?
 
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli.
TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake .
Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu
Muacheni mama wa watu jamani, hizi lawama wapeni Gamondi na Hersi kwa kutengeneza kikosi kizuri.
 
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli.
TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake .
Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu
=athari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Tushasahau hizo zama kwa miaka hii mfululizo kwetu sherehe kila siku.
Nyie kila msimu mnaanza kwa kusema msimu huu tuko vzuri... Mkishabamizwa na yanga basi yale mazuri yote mliyosema yanakuwa hakuna.
Mtalaumu sana. Sasa mchague moja, usajili mbovu au yanga inabebwa au wachezaji wamehongwa? Maana mnakuwa mara mnalaumu timu yenu mara refa mara kocha so ukweli ni upi?
Simba ipo vizuri hakuna anae sema kikosi cha simba nikibovu .
 
Back
Top Bottom