Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.

Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.

Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.

Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.

Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.

Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
Wewe weka ushahidi usiotia shaka uleweke acha bla bla.
 
hamtawaona Tena wakichezesha mpira nsimu ujao hawapo usiniulize kwa nn
 
Huwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
Jana kabla ya mechi kuna mshabiki wa simba alisema kwa gharama yeyote ile lazima washinde na uongozi wao umeenda kuloga mpaka nje ya nchi
 
Rage hakukosea.
Wewe Mkuu hapa ndo umefunga mjadala, Rage ajitokeze sasa kuthibitisha kauli yake, atuambie alijuaje wanasimba wote ni mbumbumbu kasoro yeye tu!! Maana ni kweli simba wote ni mbumbumbu! Kichapo mara nne mfululizo ni ushahidi mkubwa wa umbumbumbu!!

Rage atuambie alitumia akili au ramli , aliona nini, alitumia vigezo gani kuita wanasimba mbumbumbu na kwanini hawaambii makolo shida yao ni nini yeye anawachora tu!!

Maana visingizio vya kichapo cha kolowizard jana, ukihesabu vimefika mia, hata hatujui tushike lipi!!

Ila kila mwenye akili alijua Yanga itashinda ni idadi ya magoli tu ndo tulimuachia Allah.

Simba waitishe mkutano wa dharura wa wanachama kutoa povu, kisha wakae chini na Rage awaoneshe panapovuja!!!
 
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.

Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.

Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.

Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.

Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.

Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
Halafu watu Waliokupa like hapo juu ni wapumbavu Kama wewe!!

Mtasema mpaka mganga wenu ni Tanga
Mwaka huu mtasema yote!!
 
Mtasema yote.
Si muda mrefu mtaanza dai tena bil 20 na kukandia usajili maana ndivyo inavyokuwa mkishakalishwa.
Mngedraw ama kufunga haya yasingekuwepo.
yangekuepo na yataendelea kuwepo as long as bado tupo.
 
Huwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
niletee post yoyote inayosema kocha aondoke? Nani kasema? Lini? Wapi na sa ngapi? Acha kutulisha maneno.
 
Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari
 
Tushasahau hizo zama kwa miaka hii mfululizo kwetu sherehe kila siku.
Nyie kila msimu mnaanza kwa kusema msimu huu tuko vzuri... Mkishabamizwa na yanga basi yale mazuri yote mliyosema yanakuwa hakuna.
Mtalaumu sana. Sasa mchague moja, usajili mbovu au yanga inabebwa au wachezaji wamehongwa? Maana mnakuwa mara mnalaumu timu yenu mara refa mara kocha so ukweli ni upi?
wakati yanga anabamizwa 5 mashabiki wanaenda kuchoma nyumba ya kiongozi wao ulikuwa bado haujazaliwa dada mwajuma? Kama simba inafanya vibaya lazima tulalamike mpaka pale itakapoanza kufanya vizuri.
 
Back
Top Bottom