Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Tukijaaliwa uzima ntakua SA pana kazi sijamaliza nilitamani sana niwepo hapo Madrid.Hiyo game itakua ya moto sana , sio ya kukosaš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukijaaliwa uzima ntakua SA pana kazi sijamaliza nilitamani sana niwepo hapo Madrid.Hiyo game itakua ya moto sana , sio ya kukosaš¤
Wewe weka ushahidi usiotia shaka uleweke acha bla bla.Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.
Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
Rage hakukosea.Nyinyi badala ya kuwaita Mbumbumbu FC, sasa tutawaita Visingizio Fc!! Maana kila kukicha, mnakuja na visingizio vipya.
Hakika,maana pale serikalini wamejaa wanayanga hata yule msitafu ni yanga,hakuna marefu yasiyo na nchaSimba wakaze tu kimataifa mpira huu wa yanga ni mali ya chama na unakuja na maelekezo
Heh!!?Simba wakaze tu kimataifa mpira huu wa yanga ni mali ya chama na unakuja na maelekezo
Jana kabla ya mechi kuna mshabiki wa simba alisema kwa gharama yeyote ile lazima washinde na uongozi wao umeenda kuloga mpaka nje ya nchiHuwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
Wewe Mkuu hapa ndo umefunga mjadala, Rage ajitokeze sasa kuthibitisha kauli yake, atuambie alijuaje wanasimba wote ni mbumbumbu kasoro yeye tu!! Maana ni kweli simba wote ni mbumbumbu! Kichapo mara nne mfululizo ni ushahidi mkubwa wa umbumbumbu!!Rage hakukosea.
Shirikisho ni Kombe la Wakina Mama.Unaelewa maana ya kimataifa ? Au ushabiki tuš¤
Nakutabiria leo , simba ndio atabaki kuliwakilisha taifa Peke yake nyie makundi hamtoboišššShirikisho ni Kombe la Wakina Mama.
Halafu watu Waliokupa like hapo juu ni wapumbavu Kama wewe!!Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.
Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
yangekuepo na yataendelea kuwepo as long as bado tupo.Mtasema yote.
Si muda mrefu mtaanza dai tena bil 20 na kukandia usajili maana ndivyo inavyokuwa mkishakalishwa.
Mngedraw ama kufunga haya yasingekuwepo.
niletee post yoyote inayosema kocha aondoke? Nani kasema? Lini? Wapi na sa ngapi? Acha kutulisha maneno.Huwa wanakuwa hivyo mara zote. Before mechi wanakuwa na kelele sana za majigambo. Baada ya mechi wanaanza sema yanga imebebwa, wachezaji wamehongwa, mo tapeli sajili fake, kocha aondoke, yani wanakuwa hata hawajui tatizo ni nini.
maumivu yakizidi mwone daktari mkuuniletee post yoyote inayosema kocha aondoke? Nani kasema? Lini? Wapi na sa ngapi? Acha kutulisha maneno.
wakati yanga anabamizwa 5 mashabiki wanaenda kuchoma nyumba ya kiongozi wao ulikuwa bado haujazaliwa dada mwajuma? Kama simba inafanya vibaya lazima tulalamike mpaka pale itakapoanza kufanya vizuri.Tushasahau hizo zama kwa miaka hii mfululizo kwetu sherehe kila siku.
Nyie kila msimu mnaanza kwa kusema msimu huu tuko vzuri... Mkishabamizwa na yanga basi yale mazuri yote mliyosema yanakuwa hakuna.
Mtalaumu sana. Sasa mchague moja, usajili mbovu au yanga inabebwa au wachezaji wamehongwa? Maana mnakuwa mara mnalaumu timu yenu mara refa mara kocha so ukweli ni upi?
NakaziaSimba msipime kikosi chenu kwa kujifananisha na Yanga(mko vizuri)
Ubora wa Yanga kwa sasa ni sawa na Real Madrid