Athari za TFF kutoa ruhusa klabu za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 wa kigeni

Wewe unataka tukumbatie wachezaji wa ndani tuendelee kukaa tulipokuwa? Mbona klabu ni nyingi watapata nafasi na wakipandishwa klabu kubwa wajitume zaidi.
 
Soko ya Tanzania ilikufa alipoondoka Marcio maximo enzi hizo zambia ilisawazisha mchezo ukawa droo ikawa kama wameshinda Kwenye michezo ya caf .

Sasa hivi imebaki biashara kati ya Tff na vilabu .
Italy kiwango cha wachezaji wa kigeni ni 7 kwenye timu moja
 
Mkuu umeandika vitu vingi au maswali mengi sana kwenye comment yako kiasi kwamba hadi imepoteza mantic ya mada, maana sidhani kama mtu ataweza kujibu maswali yote hayo kwa wakati mmoja

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Kocha wa yanga analalamika eti kwa nini wasiruhusu wachezaji 10 wa kigeni kwa wakati mmoja.

Hapa kati utopolo walikuwa wanapiga kelele timu yao inajitosheleza.

Leo benchi la ufundi linalialia.
 
Stars ya maximo ina mafanikio gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha wa yanga analalamika eti kwa nini wasiruhusu wachezaji 10 wa kigeni kwa wakati mmoja.

Hapa kati utopolo walikuwa wanapiga kelele timu yao inajitosheleza.

Leo benchi la ufundi linalialia.
Nimemsikia lakini Hana hoja tayari madhara ya kutolewa mapema wanayaona anasahau idadi iliongezwa kutokana na maombi ya vilabu kushiriki kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…