Athari za Uchaguzi Mkuu, Azam TV wapandisha bei za vifurushi?

Athari za Uchaguzi Mkuu, Azam TV wapandisha bei za vifurushi?

Mitano Tena!
Na hapa ni mwanzoni tu.
 
Mimi nashangaa watu mnahangaika na ving'amuzi vya Azam..
But ishu kubwa saivi ni kupanda kwa mafuta ya kula yanayomgusa kila mtu..
Mwanzoni nikikuwa nachukua ndoo ya lita 20 kwa bei ya jumla kwa tsh 56k saivi ninavyozungumza ndoo ni Tsh 69k kwa bei ya jumla kwa mtu anayenunua kuanzia ndoo 5 na Tsh 72k kwa mtu anayechukua chini ya ndoo 5 kwa hyo imebidi nipandishe bei kutoka Tsh 3500 kwa lita hadi 4000 na ninavyozungumza bado yanazidi kupanda bei wao wapo kimya tu..
Ama kweli tunalipia gharama za uchaguzi..
 
Mm silipi mpaka waorodheahe chanel nielewe hawa wamekuwa wazi badala yakuwa burudani umeme juu kilakitu juu
Chanels hizo mkuu
FB_IMG_1606299838272.jpg
 
Hiyo bei bado iko chini sana ukilinganisha na baba la pay TV Dstv! Besides, tupo uchumi wa kati! [emoji846]
 
Uchaguzi Mkuu umeingiaje hapo Mkuu?
Au ni hasira za kukosa Jimbo?
Jitieni jeuri na majibu ya midomo juu kama bata maji ... ila mkae mkijua mpaka March 2021 tutaongea lugha moja!

Tena lugha moja ya kuelewana "MAISHA MAGUMU"
 
Hiyo bei bado iko chini sana ukilinganisha na baba la pay TV Dstv! Besides, tupo uchumi wa kati! [emoji846]
Usizungumze mambo ya dstv wasidanganye kusema wamepunguza wakati wamepandisha naamia Star, Azam nilikuwa napenda Azam two nitajizuia kuwaza maigizo maisha yamebana
 
Kila kitu kitapanda bei wafanyabiashara wote wanarudisha hela zao walizoichangia CCM wakati wa kampeni kwa idhini ya Mhutu mwenyewe .
 
Mimi nashangaa watu mnahangaika na ving'amuzi vya Azam..
But ishu kubwa saivi ni kupanda kwa mafuta ya kula yanayomgusa kila mtu..
Mwanzoni nikikuwa nachukua ndoo ya lita 20 kwa bei ya jumla kwa tsh 56k saivi ninavyozungumza ndoo ni Tsh 69k kwa bei ya jumla kwa mtu anayenunua kuanzia ndoo 5 na Tsh 72k kwa mtu anayechukua chini ya ndoo 5 kwa hyo imebidi nipandishe bei kutoka Tsh 3500 kwa lita hadi 4000 na ninavyozungumza bado yanazidi kupanda bei wao wapo kimya tu..
Ama kweli tunalipia gharama za uchaguzi..
Hatulipii gharama za Uchafuzi bali tunalipia ujinga wa mitano mingine tukijua mitano iliyopita ilikuwa hovyo watu tukaishi kama mashetani kwa sababu biashara nyingi zilifungwa na wafanya biashara na waajiriwa wao wakakosa vipato halali na vya uhakika.
 
Back
Top Bottom