Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu tutaelewanaSijaona sehemu ulipo husanisha kupandisha bei na uchaguzi mkuu
Tunaisoma watz woteMitano tena[emoji112][emoji112][emoji112]sasa nenda kwenye vifurushi vya simu..
Mm silipi mpaka waorodheshe channel nielewe hawa wamekuwa wazi badala ya kuwa burudani umeme juu kila kitu juuStartimes wanatakiwa kuonesha ligi ya nyumbani ili tuhame Azam maana hata app ni ya hovyo sijawahi kuona
Chanels hizo mkuuMm silipi mpaka waorodheahe chanel nielewe hawa wamekuwa wazi badala yakuwa burudani umeme juu kilakitu juu
Huku ndio atajamba kabisa, Dstv kifurushi kikikata unaachiwa TBC na dish tu.Hamia DSTV
Kwanza nikupongeze kwa kujali kiu yangu mkuu ila kuna kitu sielewi hiyo 8000 na 13000 unaona zipi hapa ndipo nataka kujuaChanels hizo mkuuView attachment 1640505
Yeye channel kwake ni Sport1 one tu!Sio kweli fatilia vizuri mkuu, channel baadhi za 23000 zimeletwa kwenye kifurushi Cha 20000 mfano MBC 2, MBC ACTION na MBC MAX
Samahani nisikupe usumbufu kwahatua silipi tena wajinga hawaChanels hizo mkuuView attachment 1640505
Mimi fans wa Formula 1 na Movies hapo kwenye MBC 2 & MBC Max wamenipunguzia gharamaYeye channel kwake ni Sport1 one tu!
Jitieni jeuri na majibu ya midomo juu kama bata maji ... ila mkae mkijua mpaka March 2021 tutaongea lugha moja!Uchaguzi Mkuu umeingiaje hapo Mkuu?
Au ni hasira za kukosa Jimbo?
Usizungumze mambo ya dstv wasidanganye kusema wamepunguza wakati wamepandisha naamia Star, Azam nilikuwa napenda Azam two nitajizuia kuwaza maigizo maisha yamebanaHiyo bei bado iko chini sana ukilinganisha na baba la pay TV Dstv! Besides, tupo uchumi wa kati! [emoji846]
Hatulipii gharama za Uchafuzi bali tunalipia ujinga wa mitano mingine tukijua mitano iliyopita ilikuwa hovyo watu tukaishi kama mashetani kwa sababu biashara nyingi zilifungwa na wafanya biashara na waajiriwa wao wakakosa vipato halali na vya uhakika.Mimi nashangaa watu mnahangaika na ving'amuzi vya Azam..
But ishu kubwa saivi ni kupanda kwa mafuta ya kula yanayomgusa kila mtu..
Mwanzoni nikikuwa nachukua ndoo ya lita 20 kwa bei ya jumla kwa tsh 56k saivi ninavyozungumza ndoo ni Tsh 69k kwa bei ya jumla kwa mtu anayenunua kuanzia ndoo 5 na Tsh 72k kwa mtu anayechukua chini ya ndoo 5 kwa hyo imebidi nipandishe bei kutoka Tsh 3500 kwa lita hadi 4000 na ninavyozungumza bado yanazidi kupanda bei wao wapo kimya tu..
Ama kweli tunalipia gharama za uchaguzi..