Grace glory
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 374
- 531
Asante sanaWala sio uchungu, mkileta mambo ya kusadikika humu lazima watu wahoji!
Vinginevyo andika kwenye ukuta wa choo chako, hakuna mtu atahangaika na wewe!
Kuwa na uchungu nako ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?
Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.
Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.
Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.
Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.
Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.
Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.
Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
Ukweli ni kwamba yeye ndiye mwenye uchungu kwamba atheists wamekataa kumkubali Mungu wake.Hauhaigaiki nao alafu umepost uzi unaowshusu, alafu wao hawaamini kuwa mungu hayupo bali wanajua kuwa mungu hayupo ,,,yaani mungu mwenye upendo , wote muweza wa yote, huyo hayupo ndivyo wanavyojua, sasa wewe unaeaamini mungu muweza wa yote ,mwenye upendo, wote uwaoneshe wamuone.
Umeelewa ulichokiandika hapa?Nani kasema Bacteria na fungus sio sentient beings?!
Simply ni kwamba huna elimu juu ya namna wanavyo communicate,.. basi hizo nyingine ni opinions zako tu na sio 100% facts.
Maana hata seli za ngozi yako tafiti za kisayansi zinaonyesha zina namna ya kuwasiliana vizuri tu..,
Hivyo basi usiwasemee Bakteria, fungus wala seli za ngozi yako Kwa kuwa huwezi kuchukua maoni toka kwao,. Kwa kuwa huwezi kuwasiliana nao utaishia kutupa informations kuhusu wao ambazo hazina ukweli.
So, itabidi uulize Bakteria, fungus na seli za ngozi yako kama zinahitaji Mungu ili kujiendesha na kuzaliana? Kama huwezi kuwauliza na kutuletea majibu toka kwao basi kuwa mpole tu mkuu.
Hekaya za abunuasi Je, Zina ukweliCan you name something you think of but doesn't exist?
Kitu chochote kinachohitaji Imani ujue pana MASHAKAIman ni kutarajia jambo lisilokuepo
Baba na mama yako ni wazazi wako wala huitaji iman kuaminishwa ni wazazi wako
Ila kwann inaitaji imani kuamin Mungu yuko sa km yupo why uniaminishe
Yap tena vizuri sana..Umeelewa ulichokiandika hapa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1.Labda Sentient being ni nini?Yap tena vizuri sana..
Umesema Bacteria na fungus sio sentient beings,..nikakuuliza hivi[emoji3596]
Nani kasema Bacteria na fungus sio sentient beings?!
Umeshindwa kujibu maana hakuna namna unaweza ku verify madai yako.
@jiwe_AngavuHivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?
Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.
Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.
Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.
Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.
Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.
Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.
Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
Maumivu Gani hayo we mzeeAtheists mna maumivu sana katika nyoyo zenu. Na sijui yanatoka wapi?
Ni mtazamo wako, kwaiyo we ukipinga uwepo wa Mungu, mimi naathirika wapi?Ukweli ni kwamba yeye ndiye mwenye uchungu kwamba atheists wamekataa kumkubali Mungu wake.
Hapa kaja kugeuza kibao cha uchungu wake.
Kwenye saikolojia hii inaitwa "projection".
Yani uchungu anausikia yeye, halafu anawasingizia atheists uchungu wake.