Atheists wameanza kuwa na uchungu na misimamo yao

Atheists wameanza kuwa na uchungu na misimamo yao

Atheist ni wajinga tu ni watu walojiamulia kuendekeza matamanio yao huku wakisema hakuna MUNGU

Mbona wazazi wanawajua?
Wewe Mungu unamjua?

Ulisha wahi kumuona?

Au ni mawazo yako ya kufikirika tu?

Baba zao na mama zao wanawajua hlf wanakwambia hamna MUNGU huu ni upumbavu wa kiwango cha SGR
Kama Mungu huyo yupo, Eleza yupo kwa namna gani na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Eleza na thibitisha ulifahamu vipi Mungu huyo yupo.
 
Everything that exist is a concrete evidence
Kumbe comics za DC Superman, spider man, ni ukweli mtupu,
Religions is the perfect scam, they sell an invisible products that you can only test and verify after you die
 
Back
Top Bottom