Una reasoning ya kitoto sanaUnarudia swai ambalo nimeshakuuliza, uhalisia umenifanya nijue hilo.
Means wewe pia umejiumba siyo?Mbona unauliza swali ambalo kila sku linajibiwa dunia imejitengeneza yenyewe hakuna mtu alie husika
Mkuu kwako imani inatokana na nini? naomba kufahamu.Tatzo wa dini wamejengwa kwenye imani zaid pasipo kujua hicho wanachokiamini , wanamini tu kwa sababu wamesikia au kuambiwa.
Hakuna mtu anayeamini dini ila tuna watu wanao-muamini MUNGU kupitia dini.Mimi naona waamini dini wana mtindio wa ubongo japo nguvu ya uumbaji ipo .
Ila yupo nani??Dini ni utapeli kama utapeli mwingine. Mungu hayupo.
Hii story nimejikuta niko very interested nayo yani sijui kwanini hujanijibuKijana unafatikia mambo ya Sayansi ? Unaweza kunipa jaribuo lolote la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Dunia inazunguka ? Sasa kama huijui Sayansi achana na jambo hili. Utakimbia hii nada kijana.
Au ni jaribio gani la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Jua lipo katikati na Dunia inazunguka jua ?
Naposema ngano namaanisha mambo yakutungwa yakawekwa katika Sayansi. Ushawahi kuniuliza kwanini Einstein alikuja na ishu ya Special Relativity ? Lengo ni kumuhujumu Albert Michelson aliyethibitisha ya kuwa Dunia haizinguki kwa kutumia Light Beams. Sababu Einstein alikuwa muumini wa wa theory ya Copernicus akaamua kumuhujumu mwenzake.
Siyo Mimi tu wenyewe tu walisha chalenjiana kijana kitambo sana. Fatilia haya mambo. Kisha jibu maswali niliyo kuuliza.
Vipi kuhusu wewe unayekaaga macho kodo, nini umevumbua mkuu?Atheists hawapotezi muda kwa kuabudu, ni kujikita katika kufikiri na kuvumbua vitu. Wewe umefunga macho unasali utavumbua lini? Hebu fanya utafiti kwa wanasayansi wakubwa duniani. Archimedes aliyevumbua "the law of floatation" alitumia mda mwingi kufikiri na sio kusali. Leo unawaita mataahira???
Vipi kuhusu wewe unayekaaga macho kodo, nini umevumbua mkuu?Atheists hawapotezi muda kwa kuabudu, ni kujikita katika kufikiri na kuvumbua vitu. Wewe umefunga macho unasali utavumbua lini? Hebu fanya utafiti kwa wanasayansi wakubwa duniani. Archimedes aliyevumbua "the law of floatation" alitumia mda mwingi kufikiri na sio kusali. Leo unawaita mataahira???
Mimi, wewe na wengineIla yupo nani??
Unaweza kuniambia chanzo cha uwepo wa vizazi vyote vilivyopo na vilivyokufa ni nini?Kama kila chochote lazima kiwe na chanzo chake haya mtuambie na chanzo cha mungu ni nini!
Kila mmoja atabaki na kile anachoamini.Kumbuka duniani kuna dini zaidi ya 1000 na kila waumini wanadai kua dini yao ndio sahihi. Yani nyie waamini dini wenyewe hamuwezi kukubaliana kua mungu yupi ni sahihi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeumbwa na nani?Mimi, wewe na wengine
Jifunze kujibu hoja/swali kwanza halafu ndipo uulize swali lako.Unaweza kuniambia chanzo cha uwepo wa vizazi vyote vilivyopo na vilivyokufa ni nini?
point sana mkuu na broo wangu ypo ivii yn anaboa[emoji1787][emoji1787]Salaamu wakuu.
Niende Moja kwa moja kwenye mada.
Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.
Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".
Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".
Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.
Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.
Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Mungu yupi sasa maana mungu wapo wengi.kutokana na imani tofauti tofauti mkuu
Unaniuliza kama ninaamini upepo upo au?????Nikikujibuu siamini kama upepo upo utanikatalia au utaniletea kuuona???Wewe upepo unauona? Lakini upo. Kwanini wasiamini kuwa Mungu yupo!?
Wewe hizo habari umetoa wapi?????Kwenye vitabu vya wazungu,wayahudi au waarabu?????Au kwa babu zako???Yule aliyekuumba wewe na kila kitu ndiye huyo ninaye mzungymzia, ambaye yupo peke yake katika uumbaji, hakuzaliwa na wala hazai, sisi sote twaomba msaada kutoka kwake, anazo sifa zote nhema, yeye ndiye mfalme wa siku ya mwisho, hasinzii wala halali, uchovu haumshiki, haonekani kwa macho ya kimwili bai kwa macho ya kiroho, anasikia, anaona, anarehemu na kufadhili, vyote tunavyotumia bure ni kati ya rehema zake.