Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Sio expectations zangu, bali ni yeye kufanya kulingana na sifa zake
Sifa zake yeye ni mwenye upendo
Matendo ya upendo yapo mengi

Yeye ni mkali wa kuadhibu

Adhabu zipo

“Mungu mwenye upendo wote hawezi kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya. Hana sababu ya kufanya uumbaji wa dizaini hiyo”

Nani anaweka ukomo wa nini Mungu anaweza na nini hawezi?

Labda kama hana uwezo wote

Kama anauwezo wote wa kuumba ulimwengu bora usioruhusu mabaya basi lazima hilo liwezekane
Yeye anaumba anavyotaka na halazimiki kuendana na expectations zako

Wewe ni nani hasa hata yeye atake kuendana na expectations zako?
Labda kama hana ujuzi wote wa kujua ni sehemu gani ubaya unaweza ukapenya ukavuruga kazi yake na kufanya viumbe wake wadhurike.

**********************

Kazi yeyote ambayo inaonesha tatizo au kupingana na sifa hizo hapo juu basi haijaumbwa na Mungu mwenye sifa hizo.
Taja sifa za Mungu
 
Well, kama unaodefine hivyo ulimwengu huo upo huko tunaita peponi

Kama unamwamini yeye na ukatenda mema ametuahidi tutakaa humo milele na kama humuamini na ukatenda mabaya kuna ulimwengu huo mbaya kabisa na utakaa humo
Milele

Mkuu unanipangia na hoja kuendana na matakwa yako?

Wrong Question
Kwanini aumbe ulimwengu ambao ili kiumbe kimoja kisurvive lazima kingine kife?
Unampangia Mungu?

Hakushindwa ndiyo maana kaumba pepo

Huko zipo raha zote unazoweza fikiria hakuna tabu, machungu, huzuni wala lolote lenye kukuudhi
Peponi? Peponi ni wapi?
 
Nami siko hapa kutoa ushauri kwa Mungu, nafanya reasoning kulingana na nyinyi jinsi mnavyomueoezea Mungu kwa sifa zake za ukuu.

Nahoji dhana ya uwepo wa Mungu kulingana na sifa mlizompa.

Ni sawa na mzazi ambaye umesimuliwa kuwa ni mzazi bora sana kwa watoto wake. Anawapenda sana watoto wake na hayupo tayari kuona watoto zake wanapata matatizo.

Halafu siku ukamkuta huyo mzazi anawafungia watoto wake wenye umri chini ya miaka 7 kwenye chumba chenye wanyama wakali wakutisha kama mamba, na mijoka yenye sumu kali.

Ukaja ukamuuliza yule mtu aliyekuambia habari za huyo mzazi kivipi huyo mzazi afanye huo ukatiri, ye akujibu kuwa anafanya hivyo kulingana na yeye anavyoona na sio wewe unavyotaka.

Unafikiri utetezi huo unaweza kukubaliwa na mtu gani ambaye rational kuwa huyo mzazi anaupendo wote kwa watoto zake?
Taja hizo sifa maana ziko nyingi

Nijue unareason kwa sifa ipi
 
Google ni search engine tu, inayoweza kukupa access ya taarifa mbalimbali.
Hamna anayekataa na suala la kumzuia mtoto kutumia simu lina-depend na elimu anayotaka kujifunza, turudi kwenye mada, anawezaje kututhibitishia kuwa ni ya kweli, hayo yote aliyoyasoma google na kuamini ni ya kweli angali yeye mwenyewe hakuhusika kwenye hizo practicals?
 
Uhalisia umeonyesha ulimwengu umeumbwa kwa uwepo wake,nidhamu ilivyo, uhalisia na kutowezekana kwake kujiumba au kutokea pasi na chochote.
Unajuaje kama ni kweli na sio jambo ambalo umepotoka?
 
Kuhoji sifa ya kitu wala haikuhitaji ukubaliane na uwepo wa hicho kitu
Nami sijasema umekubaliana na uwepo wake 😂

Nimesema upo half way, na half way sio sawa na kukubaliana


Hata humu nimeshuhudia wakristo wakihoji habari ya farasi mwenye mbawa aliyetumika kumsafirisha Muhammad kwenda mbingu ya saba
Kuhoji kwao hakukuwa na maana kuwa wanakubaliana na uwepo wa farasi yule au tukio hilo kuwa ni la kweli.

Kama ambavyo uliweza kuhoji habari za pazi aliyebebwa na jogoo kichwa chini miguu juuu, hakikufanya ukubali kuwa jambo lile unalikubali.

Naweza nika hoji kitu ili nikuoneshe kuwa hicho kitu ni uongo tofauti na jinsi kilivyokuwa addressed
Hakuna mahali nimesema umekubaliana na uwepo wake
Relax😂
 
Sijasoma hakuna kutumia vitu vingine elewa nilichokiandika kijana, sababu hata naposema "Self Evident Truth" ujue Kuna vingine vinaonyesha uwepo kingine. Nachopinga Mimi ni Hilo sharti lako la kuexperince kwa namna unavyo elezea wewe Kuna kuwa hakuna maana. Sasa soma ninachokiandika Mimi juu ya vingine na unachoandika wewe juu ya vingine. Vitu viwili tofauti.
Kwa hiyo huwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu bila kitu kingine au unaweza?
 
Swali sio nani kasema
hilo la nani kasema ni swali la msingi

Huwezi kulidismiss kama si kitu kwakuwa huwei kujibu

Nani kasema??
Hoja ya msingi ni kweli anasifa hiyo ya upendo wote?
Ujue unapokwama umeshikilia sifa moja

Hebu taja sifa zote unazozijua au ni hiyo moja tu?
Ni kweli katika vitu allnavyodaiwa kuviumba vinakinzana na sifa yake?
 
Which scripture?

Maana ulitaja unaowaita Miungu nimeomba ufafanuzi mpaka sasa sijapata
Kwamba kuna scriptures zingine zenye kudaiwa kuwa zimeandikwa na Mungu au watu walioongozwa na Mungu zimeongea uongo?
 
Kwani we unajenga vipi hoja mbona hueleweki?

Hoja zako hazioneshi kuwa hakuna ubaya, ila zinaonesha uwezekano wa kutokuwepo kwa aina fulani ya ubaya

Mi najadili ubaya haijalishi kwa kiwango gani
Mimi ninataka uthibitishe huo ubaya unaoujengea hoja si vinginevyo
 
Source ni kitabu kinachodaiwa kuwa ni cha Mungu

Kwa hiyo kumbe vitabu vya Mungu navyo sio vya kuviamini?
Kinaitwaje?

Hata mimi naweza andika kitabu kisha nikadai cha Mungu vipii utakikubali?

Hebu tumia akili walau kidogo
 
Haiwezekani, wewe sio mkuu pengine kuwazidi hata watu Bilioni 7 tulipo duniani

JF kila mtu tunamheshimu kumuita Mkuu hayo maneno yasikubabaishe ni semantics tu
Na mi sijasema kuwazidi watu bilion 7

Hata ukuu wa Mungu kumbe nao sio wakubabaishwa nao inawezekana ni muendelezo ule ule wa semantics tu
 
Mungu hapangiwi aumbaje, hawajibiki kwako wala kwa yoyote, hahitaji ushauri wala maoni yako ktk uumbaji wake, hahitaji confirmation yako aumbaje, anafanya anavyotaka, yeye ndiye mwenye nguvu kuliko kitu au mtu yoyote unaemfahamu au usiyemfahamu

Na ndiyo yeye kaumba haya yote
Mimi sijauliza kama Mungu anapangiwa au lah

Swali langu nililokuuliza ni hili

Kwani huu ulimwengu umeumbwa na Mungu mwenye hana sifa za upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote?.

Mpaka uwe hivi ulivyo?
 
Hamna anayekataa na suala la kumzuia mtoto kutumia simu lina-depend na elimu anayotaka kujifunza, turudi kwenye mada, anawezaje kututhibitishia kuwa ni ya kweli, hayo yote aliyoyasoma google na kuamini ni ya kweli angali yeye mwenyewe hakuhusika kwenye hizo practicals?
Kama nilivosema, google ni search engine tu. Inaweza kukudirect kwenye forums mbalimbali ambazo utakuta wataalamu wa hizo fani ukawauliza maswali ukapatiwa majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa mbona unajipinga mwenyewe?
Sijajipinga

Nilikupa umuhimu wa watu kufa kwa uhai wa viumbe duniani

Na huo umuhimu ni wa wazi kabisa

Huku kwingine tulijadili maisha baada ya kufa
Usijichanganye
Mwanzo umesema watu wanakufa ili kubalnce uhai kwasababu watu wasingekufa ulimwengu usingetosha
Jambo ambalo ni la kweli
Nilivyokuuliza kuwa huko mbinguni kuna nafasi kuyasi gani kuweza kuhimili watu zaidi ya bilioni 7

Unakuja kusema ulimwengu unatanuka na kuna spaces nyingi ambayo ni kubwa kiasi hatuwezi kuienea yote.
Ofcourse, nilikuwa nakuonesha kamq issue yako ni nafasi ya kuishi watu huko mbinguni basi nafasi ni ya kutosha

Hiyo ni simple
Kwa hiyo nishike lipi?

Safi shika hili

Watu wanakufa duniani ni natural lqzima tufe

Kufa si kubaya mara zote maana unapokufa unatoa nafasi kwa maisha mengine kuanzia mabaki yako mpaka resources tunazohitaji ili tuishi

Na kufq kwqko ni practical maana hapa Duniani (si unaijua dunia?) namaanisha dunia sio ulimwengu, tusingeweza kuishi viumbe wote tuliowahi kuishi

Kuhus space kutanuka ni kwamba huko tuendako yani afterlife kama physical space is your concern basi usijisumbue maana nafasi inatanukq kwa kasi sana kila sekunde

Umeelewa?
 
Back
Top Bottom