Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Sifa zake yeye ni mwenye upendoSio expectations zangu, bali ni yeye kufanya kulingana na sifa zake
Matendo ya upendo yapo mengi
Yeye ni mkali wa kuadhibu
Adhabu zipo
“Mungu mwenye upendo wote hawezi kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya. Hana sababu ya kufanya uumbaji wa dizaini hiyo”
Nani anaweka ukomo wa nini Mungu anaweza na nini hawezi?
Yeye anaumba anavyotaka na halazimiki kuendana na expectations zakoLabda kama hana uwezo wote
Kama anauwezo wote wa kuumba ulimwengu bora usioruhusu mabaya basi lazima hilo liwezekane
Wewe ni nani hasa hata yeye atake kuendana na expectations zako?
Taja sifa za MunguLabda kama hana ujuzi wote wa kujua ni sehemu gani ubaya unaweza ukapenya ukavuruga kazi yake na kufanya viumbe wake wadhurike.
**********************
Kazi yeyote ambayo inaonesha tatizo au kupingana na sifa hizo hapo juu basi haijaumbwa na Mungu mwenye sifa hizo.