Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

sikiliza mkuu Mungu ni mkuu sana kiasi hawajibiki kwako wala kwa yoyote

Wewe na mimi ni viumbe dhaifu sana kiasi tukahoji au kujifanya kumhold accountable

Kwa msin Huo Mungu halazimiki kuthibitisha chochote kwako wala kukushawishi chochote wewe ila kwa faida yako tu

Usijipe umuhimu ukadhani ni lazima Mungu aje akuelezee kwanini anafanya anachofanya

Mjumbe wa nyumba kumi hapo mtaanj kwako hakufanyii hivi seuze Mungu?
"Skiliza mkuu Mungu ni mkuu"

So mi na Mungu wote ni wakuu

Swali langu hujajibu

Kwani huu umeumbwa na Mungu mwenye hana sifa za upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote?.

Mpaka uwe hivi ulivyo?
 
You got me wrong

My question was not about how universe expanding

Huko mbinguni unakosema watu wataenda kuna kilomita ngapi za mraba kutosha watu bilion zaidi ya 7?
Ndiyo nakwambia kwakuwa the universe keeps expanding chances are there’s plenty of spaces probably we’ll never be able to fill

Sio suala la km ngap za mraba, look at the sky huwezi hata pata picha?
 
Uhalisia unaujuaje?

Unajuaje huu ni uhalisia na sio kama umepotoka tu?

Uhalisia unaonesha ulimwengu umeumbwa kwa uthibitisho upi?

Vitabu gani?

Kwasababu ulisema hakuna haja ya kutumia vitu vingine ili uthibitishe kingine basi sitaki hoja kuhusu vitabu nataka uthibitishe Mungu yupo bila kutumia vitu vingine
Uhalisia upo hauhitaji ushahidi kama uwepo wa Dunia, uwepo wako na mfano wa hivi.

Uhalisia ni uwepo wa kitu kama kilivyo.

Uhalisia umeonyesha ulimwengu umeumbwa kwa uwepo wake,nidhamu ilivyo, uhalisia na kutowezekana kwake kujiumba au kutokea pasi na chochote.

Taurati, Zaburi,Injili na Qur'aan.

Sijasoma hakuna kutumia vitu vingine elewa nilichokiandika kijana, sababu hata naposema "Self Evident Truth" ujue Kuna vingine vinaonyesha uwepo kingine. Nachopinga Mimi ni Hilo sharti lako la kuexperince kwa namna unavyo elezea wewe Kuna kuwa hakuna maana. Sasa soma ninachokiandika Mimi juu ya vingine na unachoandika wewe juu ya vingine. Vitu viwili tofauti.
 
According to scriptures, Heaven cannot guarantee safe.

Vita ya kwanza ilianzia huko huko

Kwa maana hiyo ni kwamba pepo sio sehemu salama ambayo mabaya hayawezi kufanyika

So rudi tena jibu swali langu vizuri
Which scripture?

Maana ulitaja unaowaita Miungu nimeomba ufafanuzi mpaka sasa sijapata
 
"Skiliza mkuu Mungu ni mkuu"

So mi na Mungu wote ni wakuu
Haiwezekani, wewe sio mkuu pengine kuwazidi hata watu Bilioni 7 tulipo duniani

JF kila mtu tunamheshimu kumuita Mkuu hayo maneno yasikubabaishe ni semantics tu
Swali langu hujajibu
Nimekujibu ila tu hujapenda jibu langu
Kwani huu umeumbwa na Mungu mwenye hana sifa za upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote?.

Mpaka uwe hivi ulivyo?
Mungu hapangiwi aumbaje, hawajibiki kwako wala kwa yoyote, hahitaji ushauri wala maoni yako ktk uumbaji wake, hahitaji confirmation yako aumbaje, anafanya anavyotaka, yeye ndiye mwenye nguvu kuliko kitu au mtu yoyote unaemfahamu au usiyemfahamu

Na ndiyo yeye kaumba haya yote
 
Sasa unaponukuu weka na vifungu ili iwe unaenda kisomi mzee
Wakishafufuka hao watu nini kinafata ?

Nataka nione mwisho wake kuwa wataenda peponi au ndio inakuwa imeisha

Maana mwanzo ulisema akifa ndio imeisha

Anhaa kumbe itaendelea…

Kwahiyo wadhambi watakufa tena[emoji23]
Halafu kuna watu wataenda peponi… okay okay (hapa ndipo nilikuwa napataka)


Vizuri sana, kwahiyo ulipoambiwa mbinguni ulidhani ni wapi?

Hili suala lq mbinguni ni wapi ni debatable

Kwa waislam ni kwamba mtu mwenye malipo madogo kabisa atalipwa sehemu yenye ukubwa wa mara kumi ya dunia hii (ibn masuud, sahih muslim)
Sasa hapo ni wazi kuwa sio duniani

Nani alitunga?
Vitu vilitungwa tu. Imani ilianzia pale watu walivokua hawana majibu ya maswali yao. Haswa lile la "tumetokana na nini"

Kumbuka zaidi ya 90% ya historia ya binadamu imepotea/haikutunzwa. Ila kidogo tunachojua ni kua, kulikua na imani/dini nyingine mbali na hizi za kiabraham (ukristo, uislam na uyahudi). Kila watu walikua wanatunga dini zao, hata waafrika sisi tulikua na dini zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu nitajie hao mmoja mmoja unaavyowaelewa
Hiyo ni short list ya Miungu kuna zaidi ya hapo nimefanya tu kufupisha.

Siwezi kukutajia mmoja kwasababu wote siwajui hivyo kama kwenye hiyo list kuna Mungu wako mchague halafu unipe sababu kwanini hao 4,999 wawe ni Miungu ya uongo
 
Vitu vilitungwa tu. Imani ilianzia pale watu walivokua hawana majibu ya maswali yao. Haswa lile la "tumetokana na nini"
Hujajibu swali

Nani katunga?
Kumbuka zaidi ya 90% ya historia ya binadamu imepotea/haikutunzwa.
Hizi asilimia umezitoa wapi???
Ila kidogo tunachojua ni kua, kulikua na imani/dini nyingine mbali na hizi za kiabraham (ukristo, uislam na uyahudi). Kila watu walikua wanatunga dini zao, hata waafrika sisi tulikua na dini zetu.
Ni kweli.
 
Hiyo ni short list ya Miungu kuna zaidi ya hapo nimefanya tu kufupisha.
Sitaki ndefu nimeuliza hii hii fupi unieleze unavyowajua
Siwezi kukutajia mmoja kwasababu wote siwajui hivyo kama kwenye hiyo list kuna Mungu wako mchague halafu unipe sababu kwanini hao 4,999 wawe ni Miungu ya uongo
Alaa sasa huwajui unatoa wapi nguvu ya kuwaweka hapa?

Vipi kama hayo ni majina ya wahuni wauza matikiti waliopo kule Igunga?

Mbona unafanya mambo ya kihuni mkuu?
 
Salaamu wakuu.

Niende Moja kwa moja kwenye mada.

Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.

Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".

Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".

Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.

Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.

Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Mifano ya kitoto sana....
Au una ntindio wa ubongo...?

Alaye pika pila anajulkkana na anaonekana ( ushahidi upo).

Engineer aliye tengeneza gari zuri, yupo na ushahidi upo.

Je..

Yuko wapi aliye umba hii dunia..?
Yuko wapi aliye muumba binadamu...?

Ushawahi kumuona, au ni imani tu...? Kam ni imani yako tu, tuliza mshono.


Elewa haya mambo ya imani yasi kuzuzue na kujiona upo sahihi.

We amini unacho kiamini.
 
Mtu anayesema nyumba inajengwa anakuwa na sababu ya kiuzoefu na hicho kitu inayomsapoti hoja yake kuwa nyumba zinajengwa.

Wewe unayesema ulimwengu umeumbwa, wapi uliwahi kushuhudia ulimwengu ukiumbwa ili iwe rahisi kufikiri huu ulimwengu nao uliumbwa?

Siyo sababu ya kiuzoefu tunasema uhalisia yaani kawaida jambo liko hivyo ukisema uzoefu, kwenye huwa kunakukosea na mapungufu kwenye uhalisia hakuna kukosea.

Sijawahi kuona ukiumbwa, ila Nina ushahidi wa kuonyesha uliumbwa, kadhalika uhalisia.

Sasa wewe tuambie Dunia imekuwaje ikawa hivi ulivyo.
 
Alaa
Nani kasema kuwa hawezi? Mkuu Mungu halazimiki kuendana na expectations zako
Maana yeye ndiye anayepanga na wewe haupo hata kwenye nafasi ya kumshauri

Wewe sio wa kupanga, hapo ulipo huwezi hata kutengeneza system yenye mfano wake unapata wapi uhalali wa kumpangia kwamba lazima awe ABC ndio awe hivi
Sio expectations zangu, bali ni yeye kufanya kulingana na sifa zake

Mungu mwenye upendo wote hawezi kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya. Hana sababu ya kufanya uumbaji wa dizaini hiyo

Labda kama hana uwezo wote

Kama anauwezo wote wa kuumba ulimwengu bora usioruhusu mabaya basi lazima hilo liwezekane

Labda kama hana ujuzi wote wa kujua ni sehemu gani ubaya unaweza ukapenya ukavuruga kazi yake na kufanya viumbe wake wadhurike.

**********************

Kazi yeyote ambayo inaonesha tatizo au kupingana na sifa hizo hapo juu basi haijaumbwa na Mungu mwenye sifa hizo.
 
Utasemaje kuwa kitu fulani kimeumbwa wakati hakuna records yeyote iliyowahi kutokea kuonesha uumbaji upo ili kui support kauli yako?
Hakuna record wakati wakati Nina ushahidi wa kimaandiko. Kijana uwe unasoma ninacho kiandika.
 
Hana sababu kivipi?
Yeye ndiye muweza wa yote yani anafanya anachokitaka

Nani kasema analazimika na chochote?

Yeye anafanya anachokitaka kwa namna anayoitaka hana wa kumhoji wala wa kupinga mipango yake

Hata wewe Scars huna cha kumfanya unaweza kuwa hupendi kufa lakini alishapanga kuwa utakufa na kweli utakufa na hakuna kitu unaweza fanya😂

Tatizo ninaloliona ni kuwa unadhani u are in a position to bargain with God aendeshe vipi mambo yake, i hate to break it to u, U are not!😂
Ina maana Mungu hawezi kufanya anavyo vitaka bila kuhusisha ubaya?
 
Hujajibu swali

Nani katunga?

Hizi asilimia umezitoa wapi???

Ni kweli.

Screenshot_20230218-104102_Google.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dhana ya kumbwa au kujiumba umeipatia wapi?

Umeona namna unavyoifunga hoja yako kwenye sehemu ndogo unayoilazimisha kuwa majibu yapitie sehemu hiyo?

Mimi kabla ya kutaka kujua umejiumba au haujajiumba naomba unipe maana ya kuumba na kuumbwa kwanza.

Halafu unipe na mifano inayopimika kuonesha mchakato wa kuumba ukifanyika

Hili ni jambo la kimaumbile tayari lipo yaani uhalisia. Hii siyo dhana kijana bali ni hakika isiyo kuwa na shaka. Kwenye uwepo wa kitu hutoki nje ya hali hizo mbili, aidha kusanifiwa (kuumbwa, kutengenezwa) na kinyume chake au kuwepo pasi na chochote na hivi viwili haviwezekani.

Mifano Iko mingi sana angalia uwepo wa gari, simu, nyumba na mingine. Kufumba ni kufanya kile ambacho hakipo kikawepo. Kile kinachokuwepo ndiyo kimeumbwa.
 
Back
Top Bottom