Ngoja nikujibu swali hili kwanza, Kisha tunaiweka kiporo unijibu maswali yangu. Baada ya hapo tutarudi hapa.Narudia tena Sayansi ni nini?
Maana bila uelewa wa pamoja inawezekana usielewe walichojaribu kukueleza waliopita.
Tamko Sayansi lina maana zaidi ya Moja, kama linavyo fasiriwa na wahudika, japokuwa Mimi siyo muumini sana wa Fasiri (Definitions),
1. Sayansi ni aina yoyote au Fulani ya taaluma au ujuzi. Yaani taaluma yoyote huitwa Sayansi, ndiyo maana tunaambiwa Social Science, Environmental Science na mfano wa hivyo.
2. Science is The systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation, experimentation, and the testing of theories against the evidence obtained.
"the world of science and technology"
Sasa weka hiki kiporo, Kisha tutarudi hapa.