rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Who caresSince time immemorial in my stay in Tanzania, I have never seen an atheist but rather some individuals with poor reasoning or some folks who lack fundamental knowledge in what they beleive.
Jibu swali nililo kuuliza.Utunzi wa hicho kitabu clearly unaona ni binadamu tena aliekua mashariki ya kati asie na ujuzi kuhusu maeneo mengine. Ukiangalia kwanzia wanavo describe dunia nk..
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha kama hayupo.
Kaburini kila ataulizwa hayo maswali matatu.Maswali matatu kila mtu ataulizwa, wapi huko?
Kama lugha itayotumika haijatajwa basi ni kwa vipi uamini kwamba maswali yatakuwa ni hayo hayo matatu tu ambayo wewe najua utasema yamefundishwa/yametoka kwenye uislam?
Kama kila mtu ataulizwa kwa lugha yake maana yake hata mafunzo yatakuwa yapo tofaut kumuhusu huyo mungu mana si tupo toka mataifa mbali mbali mpaka yale ambayo uislam haukuweza kutoboa kule!?
Naomba majibu.
Umejuaje kama ni uongo, tuwekee ukweli.Duuh jamaa Muongo wewe.
Mnajua vijana mna ujinga sana, huenda hamjishughulishi na mambo ya kielimu. Unaposema mtu muongo, mkosoe na uweke ukweli Sasa mnapoishia kudai uongo uongo, mkiambiwa wagonjwa wa akili mnakataa. Nyinyi ndiyo wale huwa mnasema "Mimi sijui lakini hunidanganyi kitu"Jamaa muongo kishenzi yani[emoji1787]
Sifanyi haya kwa ajili ya mtu kijana, ndiyo maana kwangu Mimi kwenye mjadala kufikia lengo au muafaka siyo lengo kwangu, nikikuona huelewi nakuacha. Nafikisha ukweli.Jamaa unaforce ukubalike ukipewa challenge unatukana
Quran sindo wanasema alipewa Mohammed.? Approx 5000 years ago... binadamu alikuepo tokea lini? Hundreds of thousands years ago...Jibu swali nililo kuuliza.
Spider-Man hayupo. Ni character tu alitungwa na binadamu. Mungu nae ivoivo...Thibitisha kama hayupo.
Jibu swali nililo kuuliza.Quran sindo wanasema alipewa Mohammed.? Approx 5000 years ago... binadamu alikuepo tokea lini? Hundreds of thousands years ago...
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha Sasa alitungwa na mwanadamu yupi na lini ? Hili swali huwa mnalikimbia wote, Kuna mwenzako huwa anasema ni Hadithi, ukimuuliza Hadithi ni nini na athibitishe anakimbia.Spider-Man hayupo. Ni character tu alitungwa na binadamu. Mungu nae ivoivo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali gani? Au unataka nitoe jibu unalotaka ww?Jibu swali nililo kuuliza.
Hakuna mtu analikimbia hilo swali. Duniani kuna maelfu ya dini, ivo maelfu ya miungu. Ukienda sehem kama China na japan, kulingana na historia yao ni ngumu kuwashawishi kuhusu dini za kiabraham (ukristo, uislam na uyahudi). Dini ziko kibao, asilimia kubwa ya hizi dini hatujui nani alizianzisha kutokana na kwamba historia kubwa ya binadamu haijatunzwa.Thibitisha Sasa alitungwa na mwanadamu yupi na lini ? Hili swali huwa mnalikimbia wote, Kuna mwenzako huwa anasema ni Hadithi, ukimuuliza Hadithi ni nini na athibitishe anakimbia.
Msiwe mnayaingia mambo pasi na Elimu matokeo yake ni haya mnaonekana wendawazimu na hamna akili.
Mnapotezea watu muda, hoja hamna mnacheza cheza na maneno.
Nikikuuliza swali, uthibitisho kwako ni nini na jambo ili liwe uthibitisho kinatakiwa likidhi vigezo gani ?
Inategemea uthibitisho, unataka kuthibitisha nini! Kama ni uwepo wa kitu inabidi tukione kama kipo.Thibitisha Sasa alitungwa na mwanadamu yupi na lini ? Hili swali huwa mnalikimbia wote, Kuna mwenzako huwa anasema ni Hadithi, ukimuuliza Hadithi ni nini na athibitishe anakimbia.
Msiwe mnayaingia mambo pasi na Elimu matokeo yake ni haya mnaonekana wendawazimu na hamna akili.
Mnapotezea watu muda, hoja hamna mnacheza cheza na maneno.
Nikikuuliza swali, uthibitisho kwako ni nini na jambo ili liwe uthibitisho kinatakiwa likidhi vigezo gani ?
Sio kila anayekufa ametenda dhambi.Waliohusika na dhambi ndio waliokufa?
Watoto wachanga nao wakiwemo?
Mungu hajatoa hiyo idhini na hakuna hukumu aliyotoa.Hapo hujajibu swali
Nataka nijue kwanini Mungu aliruhusu watoto wasio ma hatia wawe sehemu ya kuadhibiwa kwenye jambo ambalo hawahusiki nalo?
Kwa hiyo wengine wanakuwa hawana hatia ila wanaonewa tu?Sio kila anayekufa ametenda dhambi.
Mwanadamu hana uwezo wa kumtetea Mungu. Hao nao hawajitambui kama ilivyo kwa wasiomwamini Mungu."Mungu hatetewi na mwanadamu" ???
Mbona ndio kitu tunaona kila siku? Hamna siku mungu kajitokeza na akajitetea mwenyew bali ni wanadamu. Wengine mpaka wanaua binadamu wenzao kisa mungu wao...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameonewa na nani na kwa nini?Kwa hiyo wengine wanakuwa hawana hatia ila wanaonewa tu?