Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Unaelewa kwamba ulimwengu ungekuwa hauruhusu mabaya, isingewezekana kwa namna yeyote ile akili ya mtu kufanya mabaya?
Hakuna uhusiano wa ulimwengu na mabaya, bali kuna uhusiano mkubwa wa mabaya na akili. Mabaya yanapangwa na akili, hayapangwi na ulimwengu.
 
Hakuna uhusiano wa ulimwengu na mabaya, bali kuna uhusiano mkubwa wa mabaya na akili. Mabaya yanapangwa na akili, hayapangwi na ulimwengu.
Unajua Mungu angeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya, kusingekuwa na possibility ya akili kuweza kufanya mabaya kwasababu automatically ulimwengu hauruhusu?
 
Unajua Mungu angeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya, kusingekuwa na possibility ya akili kuweza kufanya mabaya kwasababu automatically ulimwengu hauruhusu?
Wa kutoruhusu mabaya ni binadamu mwenyewe akutumia akili zake kwa usahihi kama alizopewa na Mungu.

Ulimwengu ni mahali pa kuishi kwa maarifa tukitumia akili zetu kwa usahihi.

Tukitumia akili zetu kwa usahihi, automatically mabaya yote hayatakuwapo.
 
Back
Top Bottom