Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Wa kutoruhusu mabaya ni binadamu mwenyewe akutumia akili zake kwa usahihi kama alizopewa na Mungu.

Ulimwengu ni mahali pa kuishi kwa maarifa tukitumia akili zetu kwa usahihi.

Tukitumia akili zetu kwa usahihi, automatically mabaya yote hayatakuwapo.
Ishu sio kutumia akili kwa usahihi

In the first place Mungu anaumba ulimwengu hakujua kuwa ulimwengu huu mazingira yake ynaweza kumsabishia kiumbe wake akafanya maovu kupitia akili yake hivyo aumbe ulimwengu ambao hicho kitu hakitawezekana?
 
Naona huna hoja.
Sasa kama unabisha kitu kiko wazi.
Lugha si binadamu wanaanzisha kabisa na hata ukisoma historia za lugha mbalimbali unaona zimeanza vp afu ww unakuja kutufunga kamba hapa kua ni mungu wako ndo kaanzisha.
Men evented gods because they had unanswered questions. The more questions are answered, the lesser people believe in deities.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama unabisha kitu kiko wazi.
Lugha si binadamu wanaanzisha kabisa na hata ukisoma historia za lugha mbalimbali unaona zimeanza vp afu ww unakuja kutufunga kamba hapa kua ni mungu wako ndo kaanzisha.
Men evented gods because they had unanswered questions. The more questions are answered, the lesser people believe in deities.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana weka ushahidi ni lugha gani ameanzisha mwanadamu. Achana na hizi Programming language. Naongelea lugha za kibinadamu. Tunachojua sisi ni kuwa wapo mabingwa wa lugha Fulani.
Men evented gods because they had unanswered questions. The more questions are answered, the lesser people believe in deities.
Hizi ni kauli tu na Falsafa za watu wavivu wenye kuacha Elimu na kifata fikra zao. Hili halipo. Ndiyo maana tukiwaomba ushahidi hawana.

Kila uchwao narudia haya, walio kuja na fikra hizi ni wale walio soma historian za Wanafalsafa wa kale Wa magharibi, na kuona walivyo jaribu kuongelea chanzo cha Cha ulimwengu. Wakaishia kwenye uwepo wa Mungu. Wakasahau ya kuwa kabla ya hao walipita kina Ibrahim, kina Musa na wengine walimuelezea Mola kupitia ufunuo. Bali kina Nuhu wote walimuongelea Mola.

Sasa acheni uvivu.
 
Yani kwann watu ndio wanaaminisha watu wengine kua mungu yupo na sio mungu mwenyew...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mola alishamaliza haya miaka na mikaka, na habari zake ziko vitabuni kupitia waja wake alio wateua. Kinachotakiwa Sasa hivi ni kufata.

Ukiona wewe unapinga haya ujue akili yako inashida.

Kingine kutaka Mola ajielezee ni kuonyesha udhaifu kwa Mola wetu, wakati yeye ni mkamilifu, ndiyo maana akatuumba tukiwa na Inert Disposition (Fitra) ya kumjua yeye na kutambua uwepo wake.
 
Kijana weka ushahidi ni lugha gani ameanzisha mwanadamu. Achana na hizi Programming language. Naongelea lugha za kibinadamu. Tunachojua sisi ni kuwa wapo mabingwa wa lugha Fulani.

Hizi ni kauli tu na Falsafa za watu wavivu wenye kuacha Elimu na kifata fikra zao. Hili halipo. Ndiyo maana tukiwaomba ushahidi hawana.

Kila uchwao narudia haya, walio kuja na fikra hizi ni wale walio soma historian za Wanafalsafa wa kale Wa magharibi, na kuona walivyo jaribu kuongelea chanzo cha Cha ulimwengu. Wakaishia kwenye uwepo wa Mungu. Wakasahau ya kuwa kabla ya hao walipita kina Ibrahim, kina Musa na wengine walimuelezea Mola kupitia ufunuo. Bali kina Nuhu wote walimuongelea Mola.

Sasa acheni uvivu.
Lugha zote sikaanzisha binadamu? Kiswahili kinakuaje programming language? Au ukisema 'lugha' unamaanisha nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana weka ushahidi ni lugha gani ameanzisha mwanadamu. Achana na hizi Programming language. Naongelea lugha za kibinadamu. Tunachojua sisi ni kuwa wapo mabingwa wa lugha Fulani.

Hizi ni kauli tu na Falsafa za watu wavivu wenye kuacha Elimu na kifata fikra zao. Hili halipo. Ndiyo maana tukiwaomba ushahidi hawana.

Kila uchwao narudia haya, walio kuja na fikra hizi ni wale walio soma historian za Wanafalsafa wa kale Wa magharibi, na kuona walivyo jaribu kuongelea chanzo cha Cha ulimwengu. Wakaishia kwenye uwepo wa Mungu. Wakasahau ya kuwa kabla ya hao walipita kina Ibrahim, kina Musa na wengine walimuelezea Mola kupitia ufunuo. Bali kina Nuhu wote walimuongelea Mola.

Sasa acheni uvivu.
Hao kina Ibrahim, Musa etc... kama hata waliexist ukweli, hawana tofaut na hawa watu kizaz hiki wanaojiita manabii. "Mungu kasema hiki" "mungu kasema kile". Mungu kanitokea ndotoni" mungu this mungu that... utapeli mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mola alishamaliza haya miaka na mikaka, na habari zake ziko vitabuni kupitia waja wake alio wateua. Kinachotakiwa Sasa hivi ni kufata.

Ukiona wewe unapinga haya ujue akili yako inashida.

Kingine kutaka Mola ajielezee ni kuonyesha udhaifu kwa Mola wetu, wakati yeye ni mkamilifu, ndiyo maana akatuumba tukiwa na Inert Disposition (Fitra) ya kumjua yeye na kutambua uwepo wake.
Hakuna kitu kama icho. Ndiomaana jamii maskini zaid ni zile zinazokumbatia dini sana... inakuaje watu wenye akili timamu ndio wawe maskini zaid?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu sio kutumia akili kwa usahihi

In the first place Mungu anaumba ulimwengu hakujua kuwa ulimwengu huu mazingira yake ynaweza kumsabishia kiumbe wake akafanya maovu kupitia akili yake hivyo aumbe ulimwengu ambao hicho kitu hakitawezekana?
Issue ni kuepukana na ubaya. Kuna ubaya gani kama utatumia akili kuepukana na kitu unachokiita ubaya?
 
Issue ni kuepukana na ubaya. Kuna ubaya gani kama utatumia akili kuepukana na kitu unachokiita ubaya?
Mtu kutumia akili vibaya inatokana na mapungufu yake aliyoumbiwa, hawezi kufanya kila kitu katika accurancy ya 100%

Hujajibu swali hili

In the first place Mungu anaumba ulimwengu hakujua kuwa ulimwengu huu mazingira yake yanaweza kumsababishia kiumbe wake akafanya maovu kupitia akili yake hivyo aumbe ulimwengu ambao hicho kitu hakitawezekana?
 
Back
Top Bottom