Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Na mi sijasema kuwazidi watu bilion 7

Hata ukuu wa Mungu kumbe nao sio wakubabaishwa nao inawezekana ni muendelezo ule ule wa semantics tu
Hayo ni maoni yako au una literature backing?

Kamq maoni yako uko huru kusema chochote
 
Mimi sijauliza kama Mungu anapangiwa au lah
Nami nimekueleza kuwa kama wewe huelewi utendaji wake haina maana amekosea

Na ili awe sahihi (kwq mtazamo wako) halazimiki kuendana na maoni yako scars
Swali langu nililokuuliza ni hili

Kwani huu ulimwengu umeumbwa na Mungu mwenye hana sifa za upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote?.
Absolutely, na mpia ni mkali wa kuadhibu.
Mpaka uwe hivi ulivyo?
Yani kama huwezi kuona dunia hii ilivyo na ku appreciate sidhani kama kuna kitu uta appreciate

Mkuu umesomea nini kwenye elimu yako?
 
Mifano ya kitoto sana....
Au una ntindio wa ubongo...?

Alaye pika pila anajulkkana na anaonekana ( ushahidi upo).

Engineer aliye tengeneza gari zuri, yupo na ushahidi upo.

Je..

Yuko wapi aliye umba hii dunia..?
Yuko wapi aliye muumba binadamu...?

Ushawahi kumuona, au ni imani tu...? Kam ni imani yako tu, tuliza mshono.


Elewa haya mambo ya imani yasi kuzuzue na kujiona upo sahihi.

We amini unacho kiamini.


Leta mfano wako wa kikubwa tuuone!!, kama mfano wa "kitoto" huelewi vipi nikitoa mfano wa kikubwa kwa akili zako kisoda ataelewa kitu??!!
 
Salaamu wakuu.

Niende Moja kwa moja kwenye mada.

Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.

Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".

Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".

Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.

Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.

Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.

Unaposema hii dunia ni nzuri na bora haijulikani unatumia reference gani.

Dunia yenye majanga na mabalaa kama matetemeko yanayoua maelfu ya watu kwa tabia za kinature na natural cause ambayo kimsingi hiyo natural cause inaweza kuzuiwa na Mungu.

Yet mnasema imempendeza Mungu itokee majanga na mabalaa kama tetemeko, unless tukubali kuwa kuna baadhi ya vitu Mungu hana uwezo navyo ndio maana vinatokea.

Where is Atsu ?

Ukiniuliza Mungu yupo au hayupo, jibu langu ambalo Sina shaka nalo ni I don’t know .

Uwepo wa Mungu ni anawezekana yupo au inawezekana pia hayupo; Jibu sahihi ni hatujui.

No saint , No Guru au Prophets aliyewahi kuleta ithibati ya mungu.

Hata scriptures hazijawahi kutoa ithibati ya Mungu. Only ni kupitia Miujiza na mambo ya kufufua fua na maneno ya kitapeli.

Mbona kwa sasa hakuna Miujiza?

Imani zetu zimejengwa kwa muktadha wa scriptures yaani bible, Quran , Torah etc etc .


Of those scriptures are man made.

Vimeandikwa na humans just like you ambao tunanenewa kuwa they were enlightened.

Kwanini asiwe enlightens babu yako yule wa Mwika anaefuga Nguruwe.

So tuache mdomo mpana as if we really know the truth. No one knows the eternal truth .

The only truth that exists now is Death . We can all
Believe in death than believing in imaginable gods.

Thanks
 
Anhaa sawa Ahsante,, itoshe tu kusema, HIYO NI IMANI UMESOMA SEHEMU UKAAMINI....!

Kwa MTAZAMO wangu kutokana na akili ya kuzaliwa Tu.. Kuku na Yai(Kuku ndyo alianza then Yai likafata) na MTAZAMO wangu umekuwa supported na Watafiti wa kisayansi kama Hivi [emoji1427]

Researchers found that the formation of egg shells relies on a protein found only in a chicken’s ovaries. Therefore, an egg can exist only if it has been inside a chicken.

The protein – called ovocledidin-17, or OC-17 – acts as a catalyst to speed up the development of the shell. This hard shell is essential to house the yolk and its protective fluids while the chick develops inside.

Scientists from Sheffield and Warwick universities used a super computer to ‘zoom in’ on the formation of an egg. The computer, called HECToR and based in Edinburgh, revealed that OC-17 is crucial in kick-starting crystallisation – the early stages of the creation of a shell.
Then where did the chicken come from

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Si tunaambiwa probe haijalifikia jua bado,mamia ya mamilioni ya kilomita,means bado hatujui kitu kuhusu jua...Sasa Kama kwwnye jua tu hatujafika itakua majua ya mbali!?..hizo hekaya za kinajimu tu
Achana na habari ya outer space dunia yenyewe hasa bahari tunachokijua ni chini ya asilimia 10 tu

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Salaamu wakuu.

Niende Moja kwa moja kwenye mada.

Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.

Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".

Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".

Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.

Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.

Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.
Hebu iseme kwa KISWAHILI hiyo ATHEIST
 
Alitokana kwa ancestor wake! Mm siwez kukariri majina ya predecessors wa species wote dunian, sio fani yangu hio lol... maana hata nikitafuta jina lake utaniuliza tena na huyo ancestor wake ni nani.

Ila theory iko hivi... viumbe wote walianzia ktk kiumbe wa majini ambae ali crawl out akaweza kuadopt mazingira, thanks to random gene mutations. Ndio ivo viumbe wote wakatokea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmejuaje kuwa alianzia kiumbe wa majini mna evidence zozote zaidi ya speculation? Evolution is also a religion

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Ishara ni kitu kingine hicho kinachojitegemea

Nataka uthibitishe Allah yupo bila kutumia kitu kingine
Kwanini unaandika uongo. Nakupa angalizo kuna vitu kama huvielewi usiwe una vipinga, bora kwako uulize. Unajua maana ya ishara ? Unatenganisha vipi ishara na aliyeweka ishara ? Gari ni ishara kuwepo Msanifu wa gari. Sasa hoja yako ni ipi hapo ?

Unathibitisha vipi kitu pasi na kitu kingine ( angalizo hili ni tofauti na lile sharti lako, usije kuchanganya hapa).
 
Nimekuuliza swali utajuaje unachokiona wewe ni uhalisia na sio umepotoka tu?
Nikujibu mara ngapi ? Uhalisia upo haina mbadala kijana. Uwe unasoma nanchokiandika. Uhalisia haupingani na akili iliyo salama.

Kupotoka ni katika udhaifu aidha wa vitendea kazi au muhusika mwenyewe ila uhalisia upo.
 
Kitu gani hakipo kama kilivyo?
Uulize maswali ya maana. Chochote ambacho kipo kinyume na hali halisi, hicho hakipo kama kilivyo. Kwahiyo ni juu yako kuangalia kipi ni kipi.
 
Back
Top Bottom