PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
-
- #301
Sijawahi kuendesha VW ila kama nitafanya ligi na VW sidhani kama ataniacha umbali mrefu sanasana itakuwa umbali wa km 1 tuacha utani ww crown level za mark x sio VW..
CROWN hata kiteza cha 4cylinder kinamtoroka vizuri tu kina rpm kubwa speed 180 ila ukikamua kina pitiliza kurudi kwenye 0..
Mambo ya 4GR hayoMoja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Crown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.Mkuu athlete naona ipo juu kidogo zaidi ya majesta
Nafikiri athletes ni new model
Asante kwa somo nilikuwa sijui kama crown zina generationsCrown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.
Halafu mleta mada Carina unatakiwa uweke ligi na kina Spacio na vitz bana sio Crown.... mimi ningekuwa na crown alafu wewe una carina unataka ligi, ningekuwacha ushinde, siwezi kuchoma mafuta nikakosa fun 😀 😀 😀
Shem wako tena broo lala nakuja kukulipiaivi we unaijua voksiwagen
tuanze ligi kuanzia dsm - mwanza
nakuacha ufike morogoro,, alafu mi ndo naondoka hapa kibamba ccm, tna uhakika tutakula chakula pamoja pale singidani, baada ya hapo utanikuta nyegez lodge nimelala na shem wangu napga push up[emoji16]
Karibu, Kuna Crown Royal Saloon, Crown Athlete na Crown MajestaAsante kwa somo nilikuwa sijui kama crown zina generations
Vipi crown deluxe? Naona imekaa kishua shuaKaribu, Kuna Crown Royal Saloon, Crown Athlete na Crown Majesta
Kuendesha gari kwa speed hizi ni utoto na ulimbukeni... Please be responsible hata kama huna familia taifa linakutegemea!Kuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
140 mkuu ni spidi yangu tena ya kuchat, tena na IST Mwanza - Dodoma! Nikiwa kwenye mood bab ni 170 >>Mwoga spidi 160 to 175?
ukukutana na wale washika tochiMoja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Mkuu naomba nizitumie picha zako mbili za juu kwenye uzi huuCarina Ti ijitutumue kwa crown jaman si dharau hizi.......carina labda uyavimbie malori mzee, crown next level kibongo bongo.
View attachment 788127View attachment 788128View attachment 788129
Vipi crown deluxe? Naona imekaa kishua shua
Kuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Kama kuna gari kimeo kwa pulling na speech basi nadhani Ti inaongoza
Sijawahi kuendesha VW ila kama nitafanya ligi na VW sidhani kama ataniacha umbali mrefu sanasana itakuwa umbali wa km 1 tu
Usidharau gari za kijapan, Technology imebadilika kuna gari za Japan zinamkalisha mzunguMkuu ulichosema ni ukweli kabsaa kuna watu wana mahaba niue niteketeze na gar zenye top speed 180 yaani wanafikia hatua hata ya kusema eti hicho kicrown kinaweza kuishinda gari kama vw gti top speed 300 au european cars zenye top speed 200 plus tena zenye gear box ya dsg!!! au kwa mfano mitsubishi lancer evolution 10 huyo crown ashindane na akina brevis, camry, hao ndo size yake!! na hizo top speed 300 au 200 plus zinafikiwa walotengeneza hawawezi sema uwongo na wala hizo sio toys na hizo teknolojia sio shivo aka chinese!!!