Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

acha utani ww crown level za mark x sio VW..
CROWN hata kiteza cha 4cylinder kinamtoroka vizuri tu kina rpm kubwa speed 180 ila ukikamua kina pitiliza kurudi kwenye 0..
Sijawahi kuendesha VW ila kama nitafanya ligi na VW sidhani kama ataniacha umbali mrefu sanasana itakuwa umbali wa km 1 tu
 
Carina Ti ijitutumue kwa crown jaman si dharau hizi.......carina labda uyavimbie malori mzee, crown next level kibongo bongo.

21762828_123885878267634_5985549169273129367_o.jpg
21741162_123885871600968_8781087369055307752_o.jpg
21743827_123885611600994_4321081777651689825_o.jpg
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Mambo ya 4GR hayo
 
Mkuu athlete naona ipo juu kidogo zaidi ya majesta
Nafikiri athletes ni new model
Crown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.

Halafu mleta mada Carina unatakiwa uweke ligi na kina Spacio na vitz bana sio Crown.... mimi ningekuwa na crown alafu wewe una carina unataka ligi, ningekuwacha ushinde, siwezi kuchoma mafuta nikakosa fun 😀 😀 😀
 
Crown Athlete sio new model over Majesta. Hizo ni different version tu, Moja ni Luxury (Majesta) nyengine ni Sportier (athelete). Halafu sio kila Athlete inafua dafu mbele ya Majesta, Athelete yenye engine ya 2gr ndio iko powerful. Most of the atheletes zinazokuja hapa ni 3gr au 4gr, ambazo wala sivyo watu wanavozisifia. Crown yenye 4gr engine kwa mfano, akikutana na Altezza 3sge au 2jz stock engine, basi hio athlete itakuwa taabani. Hata 3gr engine Athlete nayo haina power ya kutisha kabisa.

Halafu mleta mada Carina unatakiwa uweke ligi na kina Spacio na vitz bana sio Crown.... mimi ningekuwa na crown alafu wewe una carina unataka ligi, ningekuwacha ushinde, siwezi kuchoma mafuta nikakosa fun 😀 😀 😀
Asante kwa somo nilikuwa sijui kama crown zina generations
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
ukukutana na wale washika tochi
 
jamaa ameniacha hoi sana yaani anasema kabisa kuwa alikuwa na Carina Ti ndo anaweza kufikia hatua aka conclude kuwa Crown ni balaa... TI? hizi ni ni Taxi na mizunguko ya hapa town tu? obvious huwezi linganisha na crown au hata GX 100 .... ni uonevu mkubwa kwa crown.
Kama kuna gari kimeo kwa pulling na speech basi nadhani Ti inaongoza
 
Mkuu ulichosema ni ukweli kabsaa kuna watu wana mahaba niue niteketeze na gar zenye top speed 180 yaani wanafikia hatua hata ya kusema eti hicho kicrown kinaweza kuishinda gari kama vw gti top speed 300 au european cars zenye top speed 200 plus tena zenye gear box ya dsg!!! au kwa mfano mitsubishi lancer evolution 10 huyo crown ashindane na akina brevis, camry, hao ndo size yake!! na hizo top speed 300 au 200 plus zinafikiwa walotengeneza hawawezi sema uwongo na wala hizo sio toys na hizo teknolojia sio shivo aka chinese!!!
Usidharau gari za kijapan, Technology imebadilika kuna gari za Japan zinamkalisha mzungu
 
Back
Top Bottom